DCEA YATEKETEZA KG 4,402 ZA DAWA ZA KULEVYA KWENYE KIWANDA CHA SARUJI
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), jana tarehe 03 Oktoba, 2025 imeteketeza jumla ya kilogramu 4,402.02 za dawa za kulevya katika kiwanda cha saruji cha Twiga, kilichopo Wazo, jijini Dar es Salaam. Kati ya dawa za kulevya zilizoteketezwa ni kilogramu 2,168.18 za methamphetamine, kilogramu 1,064.29 za…

