WANANCHI WAKARIBISHWA NANENANE KUFAHAMU KWA KINA MPANGO MAHSUSI WA NISHATI 2025-2030

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WIZARA ya Nishati imekaribisha wananchi kuendelea kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima- NANENANE jijini Dodoma ili kufahamu masuala mbalimbali ikiwemo Mpango mahsusi wa Taifa wa Nishati wa mwaka 2025-2030. Imeelezwa kuwa mpango huo uliosainiwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wa Misheni 300 mwezi…

Read Full News

VIJANA WA VYAMA VYA USHIRIKA KUNUFAIKA NA MKOPO WA BILIONI 8.5

Na Asha Mwakyonde, DODOMA BENKI ya Ushirika Tanzania (Coop Bank), kwa kushirikiana na Mfuko wa Pembejeo wa Kilimo (AGITIF), imeanza kutoa mkopo wa Shilingi bilioni 8.5 kwa vijana na wanachama wa vyama vya ushirika kutoka maeneo mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua ya kuwawezesha wakulima kuongeza tija na uzalishaji mashambani. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima na…

Read Full News

RAIS SAMIA AWAFUTA MACHOZI YA KUNI AKINA MAMA NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Morogoro WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) unatekeleza mradi wa shilingi 9,400,799,626.7 wa kusambaza majiko yaliyoboreshwa maarufu kama majiko banifu 200,000 kwa bei ya ruzuku ya asilimia 80 hadi 85 kote nchini. Hayo yamesemwa Agosti 4, 2025 na mwakilishi wa REA Mkoani Morogoro, Mhandisi Cecilia Msangi wakati akimtambulisha Mtoa huduma aliyeshinda zabuni ya kusambaza…

Read Full News

WANANCHI WAKARIBISHWA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NANENANE DODOMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WIZARA ya Nishati imeendelea kukaribisha wananchi kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima (NANENANE) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Fredrick Marwa, Mjiolojia kutoka Wizara ya Nishati amesema katika maonesho hayo Wizara inaeleza kuhusu kazi mbalimbal zinaoendelea kufanyika ikiwemo za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na…

Read Full News

UWEKEZAJI WA DK.SAMIA KWENYE MIUNDOMBINU WAIPA UWEZO NA UBORA TMA KUTABIRI

Na Asha Mwakyonde, DODOMA KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),Dk. Ladislaus Chang’a ameeleza kuwa ubora wa taarifa zao umeendelea kuongezeka na kuimarika kwa sababu ya uwekezaji mkubwa ambao unafanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha miundombinu ya uangazi na ya utoaji wa…

Read Full News

TBA YAELEZA MCHANGO WAKE KATIKA SEKTA ZA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI NANE NANE

Na Asha Mwakyonde, DODOMA AFISA Uhusiano kutoka Wakala wa Majengo (TBA), Renatus Sona ameeleza kuwa mchango wa wakala huo katika Sekta ya kilimo Uvuvi na Mifugo ni mkubwa kutokana na miradi ambayo wameitekeleza, kuendeIea kuitekeleza katika maeneo hayo. Hayo ameyasema leo Agosti 3,2025 katika Maonesho ya Wakulima na Wafugaji ‘Nane nane’ ambayo yanafanyika kitaifa kwenye…

Read Full News

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAWASHAURI WATANZANIA KUANDIKA WOSIA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA MKURUGENZI Msaidizi wa Huduma za Sheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Abdulrahman Msham amewashauri watanzania kuwa na utaratibu wa kuandika wosia ili kuepusha migogoro ya mirathi katika baadhi ya familia. Msham aliyasema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maonesho ya wakulima maarufu Nane nane ambayo yanafanyika kitaifa…

Read Full News

COOP BANK KUSAINI MKATABA WA UDHAMINI NA AGITF KUSAIDIA VIJANA KWENYE KILIMO

Na Asha Mwakyonde, DODOMA BENKI ya Ushirika (COOP BANK), kesho inasaini mkataba wa udhamini watakaoshirikiana naMfuko wa Pembejeo za Kilimo (AGITF), ambao umewapatia zaidi ya bilioni 8. 5 fedha zitakazotumika kama dhamana kuwapatia vijana wa Programu ya Jenga Kesho iliyo Bora (Build a Better Tomorrow- BBT),fedha kutoka katika maeneo atamizi. Hayo aliyasema jana jijini hapa…

Read Full News

WAZALISHAJI MAUDHUI WAHAMASISHWA KUCHOCHEA USHIRIKI WA WANANCHI UCHAGUZI MKUU

 Na Mwandishi wetu,Dar es Salaam MWENYEKITI wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,  Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele, amewahimiza wazalishaji wa maudhui mtandaoni kutumia majukwaa yao ya kidijitali kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza leo Agosti, 03 2025, jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi…

Read Full News