GASCO YAJIVUNIA KUPANUA HUDUMA YA GESI KWA WATEJA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMPUNI ya GASCO, kampuni tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), imesema katika mwaka wa fedha uliopita ilitekeleza miradi sita ya ujenzi wa miundombinu ya gesi asilia katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, ikiwemo kuwaunganishia huduma ya gesi wateja wapya wa viwandani na kibiashara. Hayo yamesemwa leo…

