WAZIRI WA FEDHA AIPONGEZA IAA KWA KUWAJENGEA UWEZO WA UJASIRIAMALI WAFUNGWA
Na Asha Mwakyonde, DAR ES SALAAM WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameipongeza Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA) kwa kuanzisha programu za mafunzo ya ujasiriamali na stadi za biashara zinazolenga makundi maalumu, ikiwemo kuwajengea uwezo wafungwa wanaokaribia kumaliza vifungo vyao ili waweze kujitegemea wanaporejea katika jamii. Pongezi hizo alizitoa Julai 2, 2026, alipotembelea banda…

