
RAIS SAMIA KUPOKEA GAWIO LA KIHISTORIA LEO,WACHUMI WATARAJIA MAKUBWA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Saalaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumanne, June 10, 2025 anatarajia kupokea gawio na michango mingine kutoka kwa taasisi za umma na kampuni ambazo serikali ina umiliki wa hisa chache, huku matumaini ya wataalamu wa uchumi na biashara yakiwa makubwa. Msajili wa Hazina Nehemiah…