KAPINGA:TEMESA MMEPIGA HATUA KUBWA KIDIGITALI

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga ameipongeza Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) kwa kazi kubwa wanayoifanya katika kutengeneza magari pamoja na huduma mbalimbali wanazotoa kupitia vyombo vya moto vilivyopo chini yake na kusisitiza kuwa taasisi hiyo imepiga hatua  kwakuwa inaenda na kasi ya mabadiliko ya teknolojia. Kapinga…

Read More

WATANZANIA KUNUFAIKA NA UMEME WA UHAKIKA; MRADI WA CHALINZE–DODOMA WAFIKIA ASILIMIA 89 YA UTEKELEZAJI

📌 utaimarisha upatikanaji wa umeme kwa wananchi, viwanda na shughuli za kiuchumi 📌 Wananchi wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme yenye uhakika zaidi baada ya kukamilika kwa mradi 📌 TANESCO yavunja rekodi kwa kuunganisha zaidi ya wateja laki nane mwaka 2025/26 Na Mwandishi Wetu, Morogoro Watanzania katika maeneo mbalimbali nchini wanatarajiwa kunufaika na huduma ya…

Read More

UKARABATI WA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA HALE WAFIKIA ASILIMIA 83 YA UTEKELEZAJI

📌 Waziri Ndejembi amtaka mkandarasi kukamilisha ukarabati kwa wakati bila kuongezewa muda wa mkataba 📌 Kukamilika kwake kutaongeza ufanisi wa uzalishaji na kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika Mkoa wa Tanga na maeneo ya jirani Na Mwandishi Wetu, Korogwe – Tanga Serikali imeendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya ukarabati wa miundombinu ya umeme nchini, huku…

Read More

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UZALISHAJI UMEME KITUO CHA JULIUS NYERERE

📌Yasema Kituo kinachangia asilimia 45 ya umeme katika Gridi ya Taifa. 📌Yasisitiza ukamilishaji wa miradi ya njia za kusafirisha umeme ili kuwafikia wananchi. Yawapongeza wananchi kwa kuchangia ujenzi wa Kituo hicho kupitia kodi zao. Na Mwandishi Wetu,Pwank Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema imeridhishwa na maendeleo ya uzalishaji wa umeme katika…

Read More

TANESCO YAOMBA RADHI KUKATIKA KWA UMEME JANA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam SHIRIKA  la Umeme Tanzania (TANESCO) limewaomba na  radhi na kuwapa pole wateja wa shirika hilo kufuatia hitilafu ya umeme iliyotokea jana jioni na kusababisha kukatika kwa umeme katika maeneo mbalimbali nchini. Akizungumza leo Julai 28, 2026  jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco Lazaro Twange amesema hitilafu hiyo ilianza…

Read More

KATIBU MKUU WA NISHATI ZAMBIA AIPONGEZA TANZANIA KWA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA UMEME

📌Aeleza Ushirikiano katika utekelezaji wa Mradi wa TAZA na faida zake Kikanda 📌Asifu jitihada za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia Na Mwandishi Wetu,Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati nchini Zambia, Mhe. Arnold Simwaba, amesema kuwa Tanzania na Zambia zimeendelea kushirikiana katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo Mradi wa Njia ya…

Read More