SIMBACHAWENE AIPA ‘TANO’ PURA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amepongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA),kwa kazi ambazo mamalaka hiyo inazifanya. Hayo aliyasema jana jijini hapa alipotembelea banda la PURA katika maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma…

Read More

KAMISHNA WA UMEME NA NISHATI JADIDIFU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA UMEME JIJINI DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, tarehe 12 Juni 2025, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme ya Gridi Imara inayoendelea katika Jiji la Dar es Salaam, na kutoa maelekezo muhimu kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na wakandarasi…

Read More

VIONGOZI WAANZA KUWAOGOPA WAJUMBE MOROGORO

Na Mwandishi Wetu,MorogoroWAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Morogoro wamelazimika kuhudhuria kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho Wilaya huku wakitakiwa kuzima simu huku lengo ikidaiwa kuwa ni kudhibiti ‘uvujishaji wa siri za kikao hicho. Hatua hiyo imedaiwa kutokana na agizo lililotolewa na Katibu wa Chama hicho wa Wilaya hiyo…

Read More

MD TWANGE:MRADI WA KUZALISHA UMEME WA JUA KISHAPU WAFIKIA ASILIMIA 63.3 

Na Mwandishi Wetu,Shinyanga MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO Lazaro Twange amesema Mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua wa Kishapu Mkoani Shinyanga umefikia asilimia 63.3 kukamilika ambapo amesema awamu ya kwanza ya Mradi huo utazalisha Megawati 50 ambazo zitaingizwa kwenye gridi ya Taifa ifikapo mwishoni mwa mwezi wa kumi mwaka huu. MD Twange ameyasema hayo leo…

Read More