MRADI WA TACTIC KUJENGA BARABARA ZA LAMI KM 17 MANISPAA YA GEITA
Na Mwandishi Wetu,Geita Mradi wa TACTIC unatekeleza ujenzi wa barabara zenye urefu wa Km 17 kwa kiwango cha lami katika Manispaa ya Geita, mkoani Geita unaotarajiwa kufungua mawasiliano katika Manispaa hiyo. Ujenzi wa barabara hizo inaelezwa kuwa zitachochea biashara na shughuli nyingine za kijamii katika manispaa hiyo na kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi ngazi…

