NI ZAMU YA WANAHABARI KUIKOA AFRIKA ATHARI ZA MAZINGIRA
Na Hafidh Kido,Dar es Salaam WAKATI nchi za Afrika zikiendelea kuwa mwathirika mkubwa wa athari za mabadiliko ya Tabianchi, wadau wa mazingira wameona haja ya kuhusisha wanahabari katika mapambano hayo. Katika mafunzo yaliyotolewa jana kwa njia ya mtandao na Media for Environment, Science, Health and Agriculture (MESHA) kupitia programu ya Cross Boarder Science Café imewazindua…

