
KAILIMA AONYA WATAKAOVURUGA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Na Mwandishi Wetu, Morogoro. Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima, amesema Tume haitamvumilia mtu yeyote atakayehusika na kuvuruga zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kujiandikisha katika vituo zaidi ya kimoja. Kailima ametoa onyo hilo Mei 15, 2025, wakati akizungumza katika mafunzo ya waandishi wasaidizi na…