SERIKALI KUDHIBITI WANAOKWEPA KODI KWAKUBADILISHA MAJINA YA KAMPUNI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Waziri wa Fedha,  Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba  amesema Serikali imechukua hatua madhubuti kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi unaosababishwa na mabadiliko ya majina ya kampuni za kigeni kwa kuhakikisha Namba ya Utambulisho wa Kodi (TIN) inabaki ile ile hata kama kampuni itabadilisha jina. Hayo ameyasema bungeni jijini  Dodoma leo Februari 4 mwaka 2025…

Read More

MHANDISI MILANDU:NJOONI IRINGA FURSA ZA MADINI ZIPO

 Na Mwandishi Wetu,Iringa MAKUSANYO  ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini katika mkoa wa Iringa yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali kwa mwaka wa fedha  2024/2025 yamefikia shilingi  milioni 698.05 ikiwa ni asilimia 58.2 ya lengo walilowekewa. Akizungumza katika mahojiano maalum, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Iringa, Mhandisi AbdulRahman Milandu amesema Mkoa…

Read More