TAMA:MUITIKIO WA WANAUME KUSINDIKIZA WENZA KLINIKI BADO MDOGO

 Aziza Masoud,Dar es Salaam

CHAMA Cha Wakunga Tanzania (TAMA) kimesema kuna  haja yakuendelea kutoa elimu kuhusu  wanaume kuwasindikiza wenza  waliopata ujauzito kliniki  kwakuwa muitikio ni mdogo ambapo asilimia 47  pekee ndo wanatekeleza suala hilo.

Akizungumza leo Februari 10, 2025 wakati wakufungua mafunzo ya kutoa huduma za dharula kwa wakunga wa Dar es Salaam kupitia mradi wa thamini uzazi salama Rais wa TAMA Dk.Beatrice Erastus Mwilike alisema wanaume wengi wamekuwa hawapendi  kuongozana na wanawake zO kliniki huku wakitoa sababu mbalimbali zikiwemo suala la muda.

“Tukiangalia idadi ya wanawake ambao wanaongozana na wenza wao kliniki ndani kipindi cha kuanza kuanza kliniki hawazidi asilimia 47 na wengi wao hawaji vipindi vyote vinane,kwetu sisi hili tunaona ni tatizo kwakuwa utaratibu huu umewekwa ili mwanaume ujue viashiria vya hatari vya mwenza wako ili uweze kuokoa maisha yake na ya mtoto,”alisema Dk.Beatrice.

Alisema wanaume wamekuwa wakishindwa kuhudhulia kliniki na wenza wao kutokana na sababu mbali ikiwemo muda  ambapo kwa sasa kumeanzishwa kliniki ya wikiendi.

Akizungumza kuhusu mafunzo hayo alisema lengo ni kuwafundisha kutoa huduma za dharula wakunga wa mkoa wa Dar es Salaam.

“Lengo ni kuwafundisha huduma za dharula,kujua changamoto mfano uangalie changamoto kutoka damu nyingi wakati wakujifungua unaitatuaje je,ikitokea umeshindwa kutatua kwa njia ya kwanza njia gani nyingine utumie.

“Mfano mtoto akitoka ametanguliza mabega namna yakumsaidia mama unafanyaje,namna yakutumia vacumu wakati wa kujifungua,”alisema Dk.Beatrice.

Amesema mrradi huo wa mafunzo ya thamini uzazi salama ni wa miaka saba na unatekelezeka katika  mikoa ya Dar es salaam na Shinyanga ambapo kimekuwa na ongezeko kubwa la vifo vya wajawazito.

Amesema mradi wa thamini uzazi salama ni wa miaka saba na unatekelezeka katika  mikoa ya Dar es salaam na Shinyanga ambapo kimekuwa na ongezeko kubwa la vifo vya mama na mtoto.

 Kwa upande wa Mratibu wa Huduma ya Afya mkoa wa Dar es Salaam  Agness Mgaya alisema changamoto zipo nyingi katika kuhudumia mama mjamzito  pamoja na kichanga  na hasa pale dharura inapokuwa inajitokeza hivyo mafunzo hayo yatasaidia kuwapa uelewa zaidi.

“Tunajua kuwa tunafanya vizuri kuwahudumia hawa wajawazito na watoto wachanga lakini lazima kila wakati tuwape watu elimu kwani kutoa huduma ya afya ni sayansi na sayansi inakuwa inabadilika kila siku kwaiyo pale ambapo panakuwa na maboresho lazima na sisi wakunga wetu wasiachwe nyuma waweze kujengewa uwezo  na kukumbushwa nini ambacho kinapaswa kufanyika .

“Bado tunachangamoto kubwa  kwenye ushiriki wa wenza kwenye huduma za afya uzazi na mtoto wanaume wamekuwa wapo mbali  kuwasindikiza wake zao kwahiyo hapa nitoe wito  wanaume waweze kuwasindikiza wake zao  wanapoenda kupata huduma za afya ya uzazi mama anapokuwa mjamzito  lakini pia wakati mama anapojifungua  wamsindikize inamsaidia sana mama kupata moyo kwamba yupo na mwenzake na kumpunguzia maumivu ” amesema Agness.

Naye mmoja wa washiriki wa  mafunzo hayo Paul Zakaria wamesema mafunzo hayo watakayoyapata itawajengea uwezo na watatuwa kipaumbele kwa wengine pindi warudipo kwenye vituo vyao vya kazi.

32 thoughts on “TAMA:MUITIKIO WA WANAUME KUSINDIKIZA WENZA KLINIKI BADO MDOGO

  1. Sunrise on the Reaping offers Suzanne Collins’ most heartbreaking storytelling yet in the Hunger Games universe through sixteen-year-old Haymitch’s eyes. This PDF prequel follows his impossible choices during the fiftieth Games. Discover what made him cynical. Download free instantly without any registration today. https://sunriseonthereapingpdf.top/ The Hunger Games Sunrise On The Reaping Pdf Free

  2. You can save time and space by choosing the PDF version of this incredible book. It is a narrative that will make you scream with emotion. Perfect for reading on the go, this digital file ensures you always have a great story in your pocket, ready to be enjoyed. https://youcanscreampdf.top/ Laurel Snow Book 5 Download

  3. We have streamlined the process of finding the Alcott Hall PDF for our users. No more searching through endless unrelated pages; get the specific file you need right here. This document is essential for anyone conducting serious research or simply looking for an engaging read. https://alcotthallpdf.top/ Alcott Hall Romance Novel Pdf

  4. The Bluebird Gold PDF is a cornerstone for any serious investor’s research library. It offers detailed insights into the factors that influence gold prices globally. Download this guide now to ensure you have the most accurate and up-to-date information available. https://bluebirdgoldpdf.site/ Bluebird Gold Online Library

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *