OPARESHENI YA KUWADHIBITI FISI SIMIYU YAONESHA MAFANIKIO MAKUBWA

Na Mwandishi wetu, Simiyu. Oparesheni maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi waliokuwa wanaleta taharuki na madhara Kwa jamii inayoendelea Mkoani Simiyu imeonesha mafanikio makubwa baada ya fisi 16 kuvunwa ikiwa ni hatua muhimu iliyochukuliwa na Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii ya kuhakikisha usalama na utulivu Kwa wananchi vinarejea. Hayo…

Read More

TAEC YATAKIWA KUSIMAMIA KWA UMAKINI UFADHILI WA ‘SAMIA SCHOLARSHIP’

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameitaka bodi mpya ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) kusimamia kwa umakini ufadhili wa masomo katika masomo ya elimu ya juu ya teknolojia ya nyuklia, ufadhili uliopewa jina la ‘Samia Scholarship Extended Program’. Profesa Mkenda ameyasema hayo jana mkoani…

Read More