KAMPENI YA ‘TOBOA KIDIGITALI’ YA TCB  KUHAMASISHA MATUMIZI HUDUMA KIDIGITI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua kampeni mpya ya kitaifa iitwayo “Toboa Kidijitali,” yenye lengo la kuhamasisha matumizi ya mifumo ya kisasa ya kufanya miamala ya kifedha na kuongeza ujumuishi wa kifedha nchini. Kampeni hiyo ambayo ina lengo pia lakurudisha sehemu ya faida katika jamii itadumu  kwakipindi cha miezi minne…

Read More

PROFESA MBARAWA:ATCL YAANZA RASMI KWENDA KINSHASA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Uchukuzi imezindua rasmi safari za ndege ya Air Tanzania kati ya Dar es Salaam, Tanzania na Kinshasa, DRC ambapo hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wawekezaji, na Mabalozi Akizungumza kwenye uzinduzi huo Waziri wa Uchukuzi wa Tanzania, Prof Makame Mbarawa ametoa pongezi kwa Viongozi…

Read More

DCEA YAKAMATA TANI 14 ZA KEMIKALI BASHIRIFU

Na Aziza Masoud,Dar es SalaamMAMLAKA ya Kupambana na Kudhibiti Madawa ya Kulevya (DCEA) kwakushirikiana na vyombo vingine vya dola, wamefanikiwa kuzuia tani 14 za kemikali bashirifu zilizokuwa ziingizwe nchini kinyume cha sheria. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa DCEA Kamishna Jenerali Aretas Lyimo alisema mpaka sasa operesheni hiyo…

Read More