MWASANDENDE ASIFU JUHUDI ZA TUME YA MADINI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Afisa Elimu, Kazi na Jinsia kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Nsubisi Mwasandende, ameipongeza Tume ya Madini kwa juhudi kubwa inazozifanya katika kusimamia rasilimali za madini nchini na kuongeza mchango wake katika Pato la Taifa. Akizungumza katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dodoma, Mwasandende…

Read More