
WENYEVITI SERIKALI ZA MITAA WATAKIWA KULINDA MIUNDOMBINU TANESCO
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka wenyeviti wa serikali za mitaa,halmashauri za mitaa kuona umuhimu wakulinda Taifa pamoja na rasilimali zilizopo nchini ikiwemo za nishati ya umeme ili kuendelea kutunza usalama wa nchi. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Juni 24, 2025 katika Kikao Kazi cha…