MAVUNDE AKABIDHI JENGO LA KUPUMZIKIA WANANCHI HOSPITAL YA RUFAA YA DODOMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MBUNGE wa Jimbo la Dodoma Mjini Anthony Mavunde leo amekabidhi jengo la kupumzikia wananchi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ambalo litasaidia kutatua changamoto ya wananchi wengi ambao hawakuwa na eneo lenye staha la kupumzika wakati wakiwa wanawahudumia wagonjwa wao. Hafla hiyo ya kukabidhi jengo hilo imeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa…

Read More