
DODOMA KUANDIKA HISTORIA MPYA USAFISHAJI SHABA
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkoa wa Dodoma unajiandaa kuandika historia mpya katika sekta ya usafishaji wa madini, kufuatia hatua za mwisho za ujenzi wa kiwanda kipya cha Shengde Precious Metal Resources Company Ltd, kilichopo eneo la Nala, ambacho kinatarajiwa kuanza rasmi uzalishaji wa copper cathode mwezi Julai, 2025. Katika ziara maalum ya ukaguzi, Afisa Madini Mkazi…