BABA LEVO ATEMBELEA BANDA LA TTCL

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MSANII na Mtangazaji maarufu nchini ambaye pia ni Balozi wa Kampeini ya Walete ya Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL, Clayton Revocatus Chipando, maarufu kama Baba Levo ametembelea banda la TTCL katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya SabaSaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es…

Read More

WANANCHI WA MOROGORO MJINI ‘WALIA’ NA UZINDUZI ‘ WA KISIMA KISICHOTOA MAJI

Na Mwandishi Wetu,Morogoro WANANCHI WA Kata ya Tungi Katika Manispaa ya Morogoro wamelalamikia kitendo kilichofanywa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Abdulaziz Abood cha ‘kuwalaghai’ kwa kuzindua kisima ambacho hakitoi maji tangu alipokizindua. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwa masharti ya kutoandikwa majina yao na vyombo vya habari, wananchi hao wamedai Kisima hicho kilichopo katika Kituo…

Read More