WAWILI MBARONI KWA MAKOSA YA UHUJUMU NA UHAMISHAJI HOLELA WA MITA ZA UMEME DAR ES SALAAM

Na Agnes Njaala, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewafikisha mikononi mwa vyombo vya dola watuhumiwa wawili kutoka maeneo ya Madale kwa Kawawa na Tegeta kwa Ndevu baada ya kubainika wakijihusisha na makosa ya hujuma na uhamishaji holela wa mita kinyume na utaratibu. Akizungumza Septemba 15, 2025 wakati wa operesheni maalumu ya ukaguzi,…

Read More

TAASISI ZA FEDHA ZATAKIWA KUFUATA NYAYO ZA TCB KATIKA UWEKEZAJI

Na Aziza Masoud,Dar es SalaamSERIKALI imesema uchumi Tanzania una kiwango kikubwa cha sekta isiyo rasmi hivyo imezitaka taasisi za fedha kuhakikisha zinafanya ubunifu wakuongeza fursa za uwekezaji unaotokana na wajasiriamali. Akizungumza jana wakati wa akizinduzi wa Hatifungani ya Stawi Bondi ya Benki ya Biashara Tanzania (TCB) yenye thamani ya Sh Bilioni 150, Naibu Katibu Mkuu…

Read More