SERIKALI KUANZISHA JUKWAA LA KIDIGITALI KUWAFIKIA VIJANA

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam WIZARA ya Vijana imejipanga kuhakikisha inawafikia vijana kwa urahisi   kwakuanzisha Jukwaa la Kidigitali la Huduma Jumuishi  (Youth Digital One Stop Platform) ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa za ajira,mafunzo,fursa za mikopo,masoko na huduma nyingine. Akizungumza jana Waziri wa Vijana Joel Nanauka alisema katika falsafa ya wizara  ya utoaji wa huduma,…

Read More

MAMBO:DEMOKRASIA HAIDAIWI KWA VITISHO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WATANZANIA  wameaswa kutofuata mikumbo na kufanya vurugu kwakigezo chakutafuta uhuru wa kisiasa kwakuwa demokra ya kweli haijengwi kwa mashinikizo, vitisho au siasa za misimamo mikali, bali hudaiwa kwakujenga hoja, ushindani wa sera na heshima kwa katiba na sheria za nchi. Akizungumza jijini Dar es Salaam l3o Desemba 23, 2025 aliyekuwa…

Read More