TANESCO YAWAKUMBUSHA WATEJA KUTUMIA VIFAA VINAVYOTUMIA UMEME NAFUU MSIMU WA

Na Mwandishi  Wetu,Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewakumbusha wateja wake kutumia nishati safi yakupikia kwakutumia vifaa vya umeme vinavyotumia umeme nafuu katika msimu huu wa sikukuu. Kupitia video iliyotolewa na Tanesco inayoonyesha wananchi wakifurahia matumizi ya nishati safi ya umeme kwa kupikia kwakutumia vyombo mbalimbali vya umeme ikiwemo  majiko ya umeme ambayo…

Read More

KAMISHNA MWENDA AWATAKA WANANCHI KUSAIDIA WATOTO WENYE MAHITAJI 

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) Yusuph Mwenda ameitaka jamii kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kukamilisha ndoto zao  na kufikia malengo waliyojiwekea. Kamisha Mwenda ametoa kauli hiyo wakati akitoa msaada kama sehemu ya kuadhimisha mwezi wa mlipa kodi katika vituo vyakulelea watoto yatima  cha Hisani…

Read More