Skip to content
August 1, 2025
  • URIO AREJESHWA KINYANG’ANYIRO CHA UDIWANI KATA YA KUNDUCHI
  • RAIS DK. SAMIA AIPA NEEMA MIRADI YA KUZALISHA UMEME IRINGA
  • SERIKALI YAWATAKA WAKUU WA TAASISI ZA UMMA KUTENGENEZA RAFIKI YA KAZI
  • WATANZANIA WAHAMASISHA KUSHIRIKI KIKAMILIFU UCHAGUZI MKUU 2025
Taifa Tanzania

Taifa Tanzania

Gazeti lako la kila siku

  • NYUMBANI
  • KITAIFA
    • BIASHARA
    • SIASA
    • UCHUMI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
  • BURUDANI
  • MAGAZETI
  • MAKALA
  • GAZETI TAIFA TANZANIA
  • MAWASILIANO
  • Biashara
  • Burudani
  • Fashion
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Makala
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi

Chief Editor

Saroj Mhr

Lorem ipsum is simply dummy text
  • NYUMBANI
  • KITAIFA
    • BIASHARA
    • SIASA
    • UCHUMI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
  • BURUDANI
  • MAGAZETI
  • MAKALA
  • GAZETI TAIFA TANZANIA
  • MAWASILIANO
Youtube Live
  • Home
  • 2025
  • Page 7

Highlight News

Kitaifa
URIO AREJESHWA KINYANG’ANYIRO CHA UDIWANI KATA YA KUNDUCHI
Kitaifa
RAIS DK. SAMIA AIPA NEEMA MIRADI YA KUZALISHA UMEME IRINGA
Kitaifa
SERIKALI YAWATAKA WAKUU WA TAASISI ZA UMMA KUTENGENEZA RAFIKI YA KAZI
Kitaifa
WATANZANIA WAHAMASISHA KUSHIRIKI KIKAMILIFU UCHAGUZI MKUU 2025

Year: 2025

  • Kitaifa

OFISI YA MSAJILI YAZITAKA TAASISI ZA UMMA KUTUMIA SABA SABA KUJITANGAZA

Aziza Masoud1 month ago1 month ago03 mins

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam OFISI ya Msajili wa Hazina imetoa rai kwa taasisi za umma kutumia maonesho ya 49 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam  maarufu kama Sabasaba kama jukwaa la kutangaza huduma zinazotolewa na serikali. Akizungumza Jumatatu, jana  katika viwanja vya Saba saba, Sabato Kosuri, ambaye ni Kaimu Mkuu wa Kitengo…

Read More
  • Kitaifa

CPA LUBUVA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA KONDOA

Aziza Masoud1 month ago1 month ago01 mins

Na Mwandishi Wetu,KondoaMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya Comrade CPA.Hassan Lubuva amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Jimbo la Kondoa kupitia chama hicho. CPA Lubuva amechukua fomu hiyo leo Juni 30, 2025 na kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Wazazi wa chama hicho willaya Juma Seif katika ofisi za…

Read More
  • Biashara

NMB KUHUDUMIA ZAIDI YA WATEJA 900,000 SABASABA

Aziza Masoud1 month ago1 month ago03 mins

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam ZAIDI ya wafanyabiashara 3000 na wateja 900,000 wanatarajiwa kutembelea banda la benki ya NMB katika Maonesho ya 49 ya  Biashara Dar es Salaam (DITF)   maarufu kama Sabasaba kwa ajili yakupata huduma mbalimbali ikiwemo kufungua akaunti. Akizungumza leo Juni 30, 2030 katika  viwanja vya Sabasaba,Mkuu wa Matawi na Mauzo wa benki…

Read More
  • Kitaifa

TRA KUTOA HUDUMA YA TIN VIWANJA VYA SABASABA

Aziza Masoud1 month ago1 month ago02 mins

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imewataka wananchi wanaohitaji  kuhudumiwa masuala mbalimbali yakikodi  ikiwemo namba ya utambulisho wa biashara (TIN) kufika katika viwanja vya Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Sabasaba kuweza kupata huduma hiyo Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 30, 2025…

Read More
  • Fashion

KEKI KUBWA ZAIDI AFRIKA MASHARIKI YATINGISHA SABASABA

Aziza Masoud1 month ago1 month ago03 mins

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIKA Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba,kampuni ya Laziz Bakery imeibua mshangao na kuvutia maelfu ya watazamaji baada ya kutengeneza keki kubwa yenye uzito wa tani 3 sawa na kilo 3,000 ikiwa ni keki kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa Afrika Mashariki. Keki hiyo si tu ya kipekee…

Read More
  • Kitaifa

ACT- WAZALENDO KUWAKUMBUSHA WATANZANIA KULINDA KURA KUPITIA OPERESHENI MAJI MAJI

Aziza Masoud1 month ago1 month ago02 mins

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa. Chama cha ACT Wazalendo kimezindua kampeni ya Operesheni Maji Maji, inayolenga kuwaamsha Watanzania kulinda kura zao kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 29, 2025 jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu wa Idara ya Uenezi wa chama hicho, Shangwe Ayo, alisema: “Ziara hizi ni…

Read More
  • Kitaifa

ALI NURDINI ‘SIX’ AJITOSA UBUNGE KONDOA MJINI

Aziza Masoud1 month ago1 month ago03 mins

Na Mwandishi Wetu, Kondoa MAKADA watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM),wamejitokeza na kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania Ubunge wa jimbo la Kondoa mjini,wakiongozwa na Mkurugezi wa Idara ya Habari elimu na mawasiliano kwa umma wa Taasisi ya mabalozi wa Usalama barabarani (RSA)Ali Nurdin maarufu ‘Six’. Wanahabari walioweka kambi katika ofisi za…

Read More
  • Kitaifa

MMILIKI MWANAMKE AONGOZA MAGEUZI YA UCHIMBAJI WA SHABA MPWAPWA

Aziza Masoud1 month ago1 month ago03 mins

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MMILIKI wa mgodi wa Ikombo Hill uliopo katika Kijiji cha Matonya, Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Bi. Doreen Kissia, ameibuka kuwa mfano wa kuigwa katika sekta ya uchimbaji wa madini ya shaba, akiwa mwanamke pekee anayeongoza mgodi unaotoa ajira kwa zaidi ya asilimia 98 ya wakazi wa vijiji vya Matonya na Kinusi….

Read More
  • Kitaifa

DKT. DOTO BITEKO ACHUKUA FOMU JIMBO LA BUKOMBE

Aziza Masoud1 month ago1 month ago01 mins

NA Mwandishi Wetu,Geita Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bukombe amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea Ubunge katika Jimbo la Bukombe. Dkt. Biteko amechukua fomu hiyo na kuirejesha kwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bukombe, Ndugu. Leonard Yesaya Mwakalukwa mapema leo Juni…

Read More
  • Kitaifa

ALIYEONGOZA KURA ZA MAONI VUNJO 2020,KUMKABILI TENA DK.KIMEI

Aziza Masoud1 month ago1 month ago07 mins

Na Mwandishi Wetu, Moshi Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Enock Koola (35), ambaye aliongoza katika kura za maoni katika kinyang’anyiro cha ubunge mwaka 2020, amechukua tena fomu ya kuwania tena nafasi hiyo ya uwakilishi, akiwa miongoni mwa waliojitokeza kumkabili mbunge anayemaliza muda wake Dkt. Charles Kimei. Mapema leo Juni 28, 2025 saa 2 asubuhi,…

Read More
  • 1
  • …
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • …
  • 26

Habari Zote Mpya

  • URIO AREJESHWA KINYANG’ANYIRO CHA UDIWANI KATA YA KUNDUCHI
  • RAIS DK. SAMIA AIPA NEEMA MIRADI YA KUZALISHA UMEME IRINGA
  • SERIKALI YAWATAKA WAKUU WA TAASISI ZA UMMA KUTENGENEZA RAFIKI YA KAZI
  • WATANZANIA WAHAMASISHA KUSHIRIKI KIKAMILIFU UCHAGUZI MKUU 2025
  • RAIS DK.SAMIA KUZINDUA KITUO CHA BIASHARA EACLC IJUMAA
  • INEC YAZITAKA ASASI ZA KIRAIA KUTOA MAWAZO YATAKAYOEPUSHA DOSARI KWENYE UCHAGUZI
  • TUNAWEZA KUZUIA ASILIMIA 80 YA VIFO NCHINI TUKIBADILI MTINDO WA MAISHA-DKT.BITEKO
  • UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 29, KAMPENI KUFANYIKA KWA MIEZI MIWILI
  • MAGESE:UREMBO SIO UHUNI
  • WADAU WATAKIWA KUUNGANA NA TOTAL KUTOA ELIMU YA USALAMA BARABARANI

Habari Zote

  • Biashara
  • Burudani
  • Fashion
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Makala
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi
© 2024 Taifa Tanzania. All rights reserved. Powered By BlazeThemes.