WATUHUMIWA SABA WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA DAWA ZA KULEVYA SAME
Na Mwandishi Wetu,Same WATUHUMIWA saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same leo, Februari 19, 2026, wakikabiliwa na mashtaka mbalimbali yanayohusiana na dawa za kulevya aina ya mirungi, huku mmoja wao akiwekewa amri ya kuwa chini ya uangalizi wa Polisi kwa miaka mitatu. Kwa mujibu wa taarifa za mahakama, kesi saba zimefunguliwa, kila moja ikiwa…

