MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Asha Mwakyonde,DODOMA SERIKALI kupitia Tume ya Madini imechukua hatua ya kufuta jumla ya leseni 40 za utafutaji wa madini kutokana na wamiliki wake kushindwa kuziendeleza, katika juhudi za kuimarisha usimamizi wa rasilimali za madini nchini na kuhakikisha zinawanufaisha Watanzania kwa tija. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 15, 2026 jijini Dodoma, Waziri wa…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA WANANCHI wengi nchini wameendelea kujitokeza kuwasilisha kero zao moja kwa moja serikalini kupitia mifumo ya kisasa ya mawasiliano, huku migogoro ya ardhi, mirathi na ukatili wa kijinsia vikitajwa kuongoza kwa wingi wa malalamiko. Hatua hiyo imechochea jitihada za serikali kuimarisha upatikanaji wa haki kwa haraka kupitia majukwaa ya kusikiliza na kutatua…
Na Mwandishi Wetu,Pwani MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanikiwa kukamata boti ya mwendokasi iliyokuwa ikisafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi kutoka Mombasa, Kenya kupitia Bagamoyo, mkoani Pwani ambapo viroba 18 vyenye jumla ya paketi 1,062 za mirungi vilikamatwa. Dawa hizo zilikamatwa katika operesheni hiyo iliyofanyika usiku wa kuamkia April…
Na Mwamdishi Wetu,Morogoro WAKANDARASI wanaotekelza miradi ya kusambaza umeme nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na Viongozi wa Serikali za Mitaa ili utekelezaji wa miradi ya kupeleka umeme kwa wananchi iweze kuleta tija na kuchochea uchumi wa nchi. Hayo yamezungumzwa na Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya Kusambaza Umeme kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha….
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanikiwa kukamata jumla ya kilogramu 1,983.31 za dawa mbalimbali za kulevya, kilogramu 3,012.5 na lita 17,960 za kemikali bashirifu, vidonge 286 na chupa 1,001 za dawa tiba zenye asili ya kulevya katika kipindi cha mwezi Machi 2026. Aidha katika ukamataji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam VIJANA wakitanzania wametakiwa kushiriki kutoa mawazo bunifu yenye lengo la kutoa suluhisho ya mambo yanayoikabili jamii ambapo mshindi wa wazo hilo atapewa zawadi ya Sh Milioni 50. Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam juzi na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka wakati akiwatangazia vijana kushiriki Shindano…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam TANZANIA imeingiza vipengele 41 katika Tuzo za Utalii na Usafirishaji Duniani (World Travel Awards), hatua hiyo inaimarisha nafasi yake na kukua zaidi katika sekta ya ya utalii na kuwa kinara barani Afrika Akizungumza leo Aprili 11,2026 jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Bodi ya Utalii Tanzania…
Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi, tarehe 03 Aprili 2026, zimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya uchukuzi, ikiwa ni hatua muhimu ya kuimarisha maendeleo ya miundombinu na kubadilishana uzoefu wa kitaalamu kati ya nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yalisainiwa pembezoni mwa Mkutano…
Durban, Afrika Kusini.Naibu Waziri Wa Uchukuz Mheshimiwa David Kihenzile, amesema ziara ya mafunzo katika Bandari ya jiji la Durban imempa uzoefu mpana kuhusu namna uwekezaji wa kimkakati unavyoweza kuongeza ufanisi wa bandari. Akizungumza baada ya kutembelea bandari hiyo yenye takribani gati 58 zinazohudumia mizigo, magari na abiria Naibu Waziri Kihenzile amesema uwekezaji mkubwa katika miundombinu…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam KAMPUNI ya Izze Ride imezindua mfumo mpya wa usafiri mtandaoni ambao unalenga kuleta mapinduzi katika sekta ya usafirishaji pamoja na kuwainua kiuchumi madereva watakaofanya kazi na mfumo huo. Akizungumza jana Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Izze Ride Fredrick William, alisema ujio wa mfumo huo mpya wa usafiri wa kidijitali unapenga …