BUGURUNI VIZIWI YAIBUKA KIDEDEA MASHINDANO YA ELIMU YA USALAMA BARABARANI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  SHULE ya Msingi ya Buguruni Viziwi imeibuka mshindi wa kwanza kitaifa katika mashindano ya ubunifu wa elimu ya usalama barabarani kwa mwaka 2025 (VIA Creative 2025), yanayoendeshwa na Kampuni ya Total Energies kwa kushirikiana na TotalEnergies Foundation pamoja na NafasiArt Space. Washindi wa mashindano hayo ambayo yenye lengo la kuhamasisha…

Read More

TRA YAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA USALAMA WA BIASHARA ZAO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 13.11.2025 amefanya ziara katika soko la Kimataifa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kuwahakikishia wafanyabiashara usalama wa biashara zao. Akiwa sokoni hapo Kamishna Mkuu amekutana na viongozi wa wafanyabiashara na wamachinga pamoja na wafanyabiashara wenyewe…

Read More

TTCL:WATANZANI WANATAKA HUDUMA BORA NAFUU ZA INTANETI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA  la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema  kuwa  uchunguzi walioufanya  wamebaini kuwa watanzania wanahitaji huduma bora za intaneti lakini za bei nafuu na kuahidi kuendelea kuboresha huduma zao kulingana na uhitaji. Akizungumza wakati wa kuzindua kifurushi kipya cha T-Fiber,Meneja wa Promosheni wa TTCL Janeth Maeda,alisema wameendelea kusikiliza maoni,mahitaji, na matarajio ya…

Read More

OTHMAN:NITAREJESSHA HADHI YA ZANZIBAR DUNIANI

Na Mwandishi Wetu,ChakeChake MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema atahakikisha Zanzibar inarejesha hadhi na heshima yake katika jumuiya ya kimataifa mara baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar. Akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kufunga kampeni uliofanyika Viwanja vya Tibirizi, Chake Chake Pemba, Othman alisema Zanzibar ilikuwa…

Read More

BILIONI 21.9 ZA TACTIS KUJENGA KM 8.4 ZA BARABARA MANISPAA YA MPANDA

Na Mwandishi Wetu,Mpanda HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction Corporation (CICO), wametiliana saini mkataba wa ujenzi wa barabara za kiwango cha lami zenye urefu wa Kilomita 8.4. Makubaliano hayo ya mradi huo wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC), yanajumuisha ujenzi wa barabara 10 kwa kiwango cha lami, ujenzi wa…

Read More

TAJU YASISITIZA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam TAASISI ya Tanzania Jumuishi  (TAJU) imewataka viongozi na wasimamizi wa uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 kusimamia zoezi hilo kwa weledi  ili kila mshiriki aridhike  na mchakato huo na matokeo kwa ujumla kuepuka vurugu. Akizungumza jijini Dar es Salaam  lOktoba 25, 2025 katika kikao cha waru wenye ulemavu ukilichoratobiwa na TAJU,Katibu…

Read More