MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Singida KATIKA nchi inayokumbwa na changamoto za kiafya, mazingira na umasikini, nishati safi ya kupikia si tu hitaji la msingi bali ni kichocheo cha maendeleo ya kweli kwa watu na Taifa kwa ujumla. Katika kukabiliana na ukataji miti ambapo takribani asilimia 16 ya eneo la nchi tayari limegeuka kuwa janga, Serikali ya Awamu…
Na Mwandishi Wetu,Musoma WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, tarehe 23 Februari, 2026 katika Ziara yake ya Kanda ya Ziwa ametembelea Bandari ya Musoma,na kusisitiza kuwa Serikali inakwenda kuikarabati ili kuendelea kufungua fursa za kiuchumi Mkoa wa Mara Amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na ukarabati…
Na Mwandishi Wetu,Musoma WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, leo tarehe 23 Februari, 2026 amefanya ziara ya kikazi kukagua maendeleo ya Mradi wa Ujenzi na Uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Musoma na kuagiza kuongeza kasi ya utekelezaji huku akisisitiza kuzingatiwa kwa viwango vya kitaifa na kimataifa vya usalama wa anga. Akizungumza baada ya kupokea…
Na Mwandishi Wetu,Mwanza NAIBU Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amezindua mradi wa kusambaza mifumo ya umeme jua visiwani unaolenga kuweka mifumo 20,000 ya umeme jua katika visiwa 120 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 8 ambapo Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka ruzuku hadi ya asilimia 75 katika gharama za uunganishaji umeme. Mhe. Salome Makamba amezindua…
Na Mwandishi Wetu,Same WATUHUMIWA saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same leo, Februari 19, 2026, wakikabiliwa na mashtaka mbalimbali yanayohusiana na dawa za kulevya aina ya mirungi, huku mmoja wao akiwekewa amri ya kuwa chini ya uangalizi wa Polisi kwa miaka mitatu. Kwa mujibu wa taarifa za mahakama, kesi saba zimefunguliwa, kila moja ikiwa…
Unahusisha Shule za Sekondari 52 na Chuo kimoja cha VETA Ni sehemu ya mradi wa Shilingi bilioni 25.8 wa kupeleka nishati safi ya kupikia kwa taasisi 453 Na Mwandishi Wetu,Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amezindua awamu ya kwanza ya mradi wa kusambaza nishati safi ya kupikia katika taasisi zinazohudumia watu zaidi ya…
MWENDA AONYA WANAODANGANYA KUWA NA UWEZO KUFUTA MADENI YA KODITRA YAJIVUNIA MFUMO WA IDRAS, KUENDELEA KUTOA ELIMU Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imefungua kituo kipya cha huduma katika eneo la Masaki Dar es Salaam ambacho kipo chini ya mkoa kodi Kinondoni lengo likiwa ni kuendelea kusogesa huduma kwa wananchi na…
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama hususan Jeshi la Polisi, kuanzia Februari 10 hadi 16, 2026, imefanya operesheni maalum katika vijiji vya Marieni na Mhero vilivyopo kata ya Chome, wilaya ya Same, Kilimanjaro na kukamata kilogramu 299.8 . Akizungumza…
Na Mwandishi Wetu,Karatu MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kuchukua hatua ya utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa wakati wa kampeni wilayani Karatu mkoa wa Arusha ya kuitaka TRA kuongeza wigo wa utoaji huduma. Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda akiwa ziarani…
Na Mwandishi Wetu,Tabora WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema wilaya za Urambo na Kaliua mkoani Tabora zipo tayari kwa uwekezaji, hususan wa viwanda kwani umeme unaopatikana katika Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme Urambo unatosheleza na hata kuzidi mahitaji ya sasa. Amesema hayo leo, tarehe 14 Februari 2026, wakati akikagua mradi wa njia ya…