MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Afrika haiwezi kushinda vita dhidi ya saratani ikiwa kila nchi itafanya kazi peke yake. Amesema kuwa ili kufikia malengo ya mapambano dhidi ya saratani, kunahitajika kuwepo kwa ushirikiano wa kikanda na wa bara zima katika utafiti, mafunzo, kubadilishana wataalamu na kubadilishana rasilimali, teknolojia…
Na Hafidh Kido,Dar es Salaam WAKATI nchi za Afrika zikiendelea kuwa mwathirika mkubwa wa athari za mabadiliko ya Tabianchi, wadau wa mazingira wameona haja ya kuhusisha wanahabari katika mapambano hayo. Katika mafunzo yaliyotolewa jana kwa njia ya mtandao na Media for Environment, Science, Health and Agriculture (MESHA) kupitia programu ya Cross Boarder Science Café imewazindua…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema kukamilika kwa ujenzi wa eneo la kuhifadhi kontena lenye sqm 200000 kutaongeza ufanisi kutoka kupokea kontena 8000 hadi 13,000 kwa mwaka. Akizungumza Januari 9 , 2026 katika eneo hilo lililopo Kurasini ambapo amefanya ziara yakuangalia utendaji kazi wa bandari Profesa Mbarawa alisema ujenzi…
Na Mwandishi Wetu,Pwani Kibaha. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT) imeendesha mafunzo maalum ya uongozi na usimamizi kwa Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi wa Ofisi hiyo, yakilenga kuimarisha uwezo wa menejimenti katika kusimamia rasilimali za umma kwa weledi, uwajibikaji na kwa maslahi mapana ya taifa. Mafunzo hayo ya…
Na Mwandishi Wetu,Katavi Imeelezwa kuwa mradi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Awamu ya Pili B (HEP 2B) unakwenda kuongeza na kuchocchea uchakataji wa mazao ambayo kwa kiasi kikubwa wananchi wa mkoa wa Katavi wanazalisha mazao katika mkoa huo. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko leo tarehe 6 Februari, 2026…
Na Aziza Masoud,Dar es salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara mkoani Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine atafungua soko kuu la Kimataifa la Kariakoo ambalo ujenzi wake umekamilika mwishoni mwa mwaka jana. Kufuatia ufunguzi huo wafanyabiashara wa biashara ndogondogo waliopo katika soko hilo ambao wamefunga njia zakuingilia kwenye soko wametakiwa kuondoka…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Saam MWENYEKITI wa chama cha Mawakala Wanaowatafutia watanzania Kazzi nje ya nchi (TRAA) Bara Abdalla Harid Mohamed amewataka madereva kuchangamkia fursa za nafasi za ajira 1150 za udereva nchini Qatar ambapo jumla ya madereva 900 wanategemewa kutoka Tanzania Bara. Akizungumza na waandishi wa habari jijink Dar es Salaam Mohamed ambaye pia…
Na Mwandishi Wetu,Mbeya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Beno Malisa ameishukuru Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa kupeleka kiasi cha shilingi bilioni 42.6 mkoani Mbeya ili kupeleka umeme kwenye vitongoji 316 kupitia mradi wa HEP 2B unaotekelezwa mkoani humo ili wananchi wanufaike na nishati hiyo. RC Malisa amesema mradi huo unakwenda kuleta…
NaAMwandishi Wetud,Dar es Salaam BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya upimaji wa mtihani wa kidato cha nne huku takwimu ikionesha ufaulu kwa wasichana ni asilimia 94.26 ya wasichana wote ambapo kati ya watahiniwa 526,620 waliofanya mtihani huo wasichana 278,108 ambao ni watahiniwa wa shule wamefaulu kwakupata daraja la kwanza mpaka la nne. Akizungumza jijini…