
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Tanga Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia hapa nchini. Mhe. Majaliwa amebainisha hayo leo terehe 16 Oktoba 2025 alipotembelea banda la REA wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Chakula Duniani 2025 yaliyofanyika katika viwanja vya shule ya Usagara…
Na Mwandishi Wetu,Mtwara UTAFITI unaoendelea kufanyika katika Kitalu cha Lindi–Mtwara, mkoani Mtwara umeonesha dalili za uwepo wa Gesi Asilia, hususani katika vijiji vya Mnyundo na Mpapura, ambapo visima vya maji vilibainika kuvujisha gesi asilia. Utafiti huo unajumuisha jumla ya vijiji 48 katika eneo la takriban kilomita za mraba 736 ambapo vijiji 40 vinatoka katika Halmashauri…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VITAMBULISHO vipya vya kidijitali vinavyoendelea kutolewa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) vimepokelewa kwa furaha na matumaini makubwa na waandishi wa habari nchini. Hatua hii imeelezwa kuwa ni mwanzo wa mwelekeo mpya wa tasnia ya habari nchini Tanzania. Waandishi wengi wa habari wamepongeza hatua hiyo, wakieleza…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Mheshimiwa Albert Msando amefanya ziara ya kukagua hali ya maji katika Wilaya hiyo sambamba na kukagua utekelezaji wa mradi wa maji King’ong’o katika Kata ya Saranga ambao umeanza kutekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)utakaohudumia wakazi takribani 92,000 katika mitaa ya Michungwani, King’ong’o na…
Na Mwandishi Wetu,Mbeya WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha ustahimilivu wa Taifa dhidi ya majanga, kupitia utekelezaji wa sera, sheria, mikakati na miradi mbalimbali Amesema kuwa hatua hiyo itasaidia kuendelea katika kujenga ustahimilivu wa jamii dhidi ya maafa, tutaokoa maisha, mali, na rasilimali za taifa letu. Amesema hayo…
Na Asha Mwakyonde, DAR ES SALAAM MGOMBEA wa nafasi ya udiwani Kata ya Saranga kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi John Sanga, amesema ameomba ridhaa ya wananchi ili aweze kushughulikia changamoto zilizopo katika kata hiyo, ikiwemo kumalizia asilimia 15 iliyobaki ya upatikanaji wa maji safi na salama. Akizungumza Oktoba 11, 2025 katika mkutano…
Na Mwandishi Wetu,Shinyanga UONGOZI wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) umeadhimisha wiki ya huduma kwa wateja na wafanyabiashara mbalimbali wakiwemo wa Madini wanaoendesha shughuli zao katika soko la Madini la wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuwapongeza kwa kuendelea kulipa kodi kwa hiari. Akizungumza katika maadimisho hayo wilayani Kahama Oktoba 09.2015 Kamishna Mkuu wa TRA Bw….
Na Mwandishi Wetu,Morogoro VIONGOZI kutoka Wizara tano mtambuka wamekutana mkoani Morogoro kujadili njia za pamoja katika utekelezaji wa mradi wa bwawa la Maji Kidunda ili kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati. Akiongoza kikao kazi hicho Katibu Mkuu Wizara ya maji, Mhandisi Mwajuma Waziri amesisitiza ushirikiano wa ki sekta katika utekelezaji wa mradi wa bwawa la Kidunda…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeahidi kuendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake zenye ubora wa hali ya juu pamoja na kuendelea kusikiliza maoni ya wateja ili kuboresha huduma zao. Akizungumza leo Oktoba 10, 2025 jijini Dar es Salaam katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja Kaimu…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kufuatilia hali ya upatikanaji wa huduma ya majisafi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar es Salaam pamoja na kuweka mikakati ya haraka ya kuboresha huduma hiyo. Mheshimiwa…