MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani (RC), Mheshiwa Abubakar Kunenge amesema ushirikishwaji wananchi kwenye miradi ya maendeleo unaofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni wa mfano na unapaswa kuigwa na taasisi zingine. Aidha, amewaomba Madiwani kutoa ushirikiano kwa DAWASA ili kuhakikisha wananchi wanatunza vyanzo vya maji…
Na. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amesema Serikali imefanya juhudi mbalimbali za Kisera, Sheria na Kimkakati ili kuhakikisha Tanzania inakuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki na Kati. Dkt. Yonazi aliyasema hayo katika kikao cha Kikundi Kazi cha Mazingira ya Biashara…
Na Mwandishi Wetu,Arusha MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache kuachana na usimamizi wa kawaida na kuelekea kwenye uongozi wa kimkakati unaotazama mbele. Wito huo umetolewa wakati wa Mkutano wa Wakurugenzi wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa hisa chache…
Na Mwandishi Wetu,Arsha SERIKALI imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea hadhi ya nchi ya kipato cha kati cha juu kama ilivyo ainishwa kwenye Dira 2050. Dira hiyo inalenga kukuza uchumi wa Tanzania kutoka ukubwa…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiomba serikali kukiongezea bajeti Chuo Cha Bahari Dar es Salaam (DMI) ili kuweza kufanya ukarabati wa majengo na kukifanya kuwa cha kisasa kwakuwa majengo yaliyopo ni machakavu na hayaendani na hadhi ya chuo hicho. Akizungumza mara baada ya kamati hiyo kutembelea miradi mbalimbali…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma TUME ya Madini imetangaza mipango ya miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali kwa vijana katika mwaka wa fedha 2026/2027, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuweka mazingira wezeshi yatakayowawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika Sekta ya Madini. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Machi 16, 2026 kwa niaba ya Katibu…
Na Mwandishi Wetu,Njombe WAKALA wa Nishati Vijijini (REA), umeendelea kutekeleza miradi ya kupeleka huduma ya umeme katika maeneo ya vitongoji ili kuwawezesha wananchi waliopo maeneo hayo kupata huduma bora ya nishati ya umeme kwa ajili ya Maendeleo yao na Taifa kwa ujumla. Hayo yamebainishwa na Msimamizi wa Miradi ya REA, Kanda ya Nyanda za Juu…
Na Mwandishi Wetu,Kigoma WAKALA wa Nishati Vijijini imeanza utekelezaji wa mpango mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la zaidi ya asilimia themanini 80% ya watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia nishati ambayo ni salama kwa mtumiaji na rafiki kwa mazingira. Akizungumza wakati wa ugawaji wa majiko…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WANANCHI wa kata ya Makurumla wamelalamikia shida ya maji yanayosambazwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) ambapo wanadai kuwa eneo hilo hakuna maji na hata ikitokea yametoka yanakuwa machafu. Wakizungumza kwa nyakati katika kikao maalum cha halmashauri kuu ya eneo hilo Job Mwakajumba ambaye anaishi katika …
Na Mwandishi Wetu,Njombe WAKALA wa Nishati Vijijini (REA), imetoa kiasi cha shilingi bilioni 5.4 kwenye mradi wa kuzalisha umeme wa maji Lupali wenye uwezo wa kuzalisha kilowati 317 unaotekelezwa na shirika la Benedictine Sisters of St. Gertrud Convent Imiliwaha. Hayo yamebainishwa leo Machi 11, 2026 wakati wa ziara ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) walipotembelea…