MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Iringa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James, amewataka wananchi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano kwa Wakandarasi wa miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ikiwemo kulinda miundombinu na vifaa vya ujenzi ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na iweze kuleta tija na kuchochea maendeleo nchini. RC James amebainisha hayo leo Januari…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanya ukaguzi wa kitaalamu wa mita za umeme kwa baadhi ya wateja waliowasilisha malalamiko hayo kwa njia za mitandao katika maeneo ya Tabata Kimanga na Kimara Suka jijini Dar es Salaam. Malalamiko hayo yaliibuliwa na baadhi ya wananchi mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuhusu…
Na Mwandishi Wetu Mtwara WANANCHI wa vitongoji vya Msokole na Funguni Kijiji cha Mnazi Kata ya Nalingu Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa Umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao wamesema unakwenda kubadili maisha yao. Wametoa shukrani hizo kwa nyakati tofauti Januari 28, 2026 wakati wa kumtambulisha Mkandarasi atakayetekeleza mradi wa…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAKATI Rais Dk.Samia Suluhu Hassan leo Januari 27 akisherekea kutimiza miaka 66 tangu kuzaliwa kwake,vijana wa maeneo mbalimbali waliopo jijini Dar es Salaam wamekusanyika pamoja ili kusherekea siku hiyo kwakuelezea mambo mbalimbali anayoendelea kuyafanya kwa wananchi hasa vijana katika uongozi wake. Akizugumza katika hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Bora…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema serikali kupitia Wizara hiyo kwa kushirikiana na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imepiga hatua kubwa katika urasimishaji wa biashara na ulinzi wa ubunifu ndani ya kipindi cha siku 100, hatua inayochochea ukuaji wa uchumi na kuwawezesha wananchi hususan vijana kushiriki…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari ameshiriki katika kikao cha wadau wa Mahakama kilichofanyika tarehe 22 Januari, 2026 Jijini Dodoma. Kikao hicho kilichoongozwa na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mhe. George Masaju kililenga katika kujadiliana juu ya uboreshaji wa utoaji wa huduma za Mahakama na Sekta ya Sheria kwa…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam NCHI za Afrika zimetakiwa kuungana ili kuwa na nguvu moja yakupambana na mifumo iliyowekwa na nchi za Magharibi kwa ajili yakujinufaisha kiuchumi na kusababisha migogoro baina ya viongozi na wananchi wa nchi hizo kwa kiasi kikubwa. Kauli hiyo imetolewa na Mwanajumui wa Afrika na Mwanafalsafa kutoka Zimbabwe, Dk. Joshua Maponga,…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WATUHUMIWA wawili, Amasha Iddi Mrisho (40), mkazi wa Buza, Dar es Salaam na Seleman Juma Ally (32), raia wa Msumbiji, Januari 22, 2026, wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya skanka. Akisoma maelezo ya awali ya shtaka…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAHAKAMA Kuu ya Uhujumu Uchumi, Divisheni ya Makosa ya Rushwa, imemhukumu kifungo cha miaka 28 jela mshtakiwa David Kanayo Chukwu, raia wa Nigeria, ambaye ni mshtakiwa wa kwanza kati ya watatu, baada ya kukiri kosa la kushiriki katika kusafirisha kilogramu 268.50 za dawa za kulevya aina ya heroin. Akisoma hukumu…