MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema udhibiti unaofanyika na kukamatwa kwa waingizaji wakuu wa dawa za kuelvya kumefanya bidhaa hiyo iwe adimu mtaani na kusababisha vijana wengi kuhamia kwenye uraibu wa pombe kali ambazo wanakunywa kupita kiasi. Akizungumza jijini Dar es Salaam Januari 9, 2026…
Na Mwandishi Wetu,Shinyanga Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Mradi wa Umeme unaozalishwa kwa nguvu ya Jua uliopo Kishapu, Mkoani Shinyanga, uko mbioni kukamilika ambapo jumla ya megawati 50 zinatarajiwa kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa ili kuimarisha upatikanaji wa umeme katika Mkoa wa Shinyanga na mikoa jirani. Mhe. Salome ameyasema hayo Januari 9,…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) dawa mpya za kulevya zinatengenezwa kwa kasi kubwa duniani ambapo mpaka sasa zimeshabainika dawa zaidi 1400. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika semina ya wadau wa DCEA Kamishna Msaidizi wa Sayansi Jinai wa Ziliwa Machibya alisema kumekuwa na ongezeko la…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema jumla ya mashauri 1200 ya kesi za dawa za kulevya yalipekwa mahakamani ambapo kati ya hayo mashauri 990 sawa na asilimia 75 na kuwatia hatiani watu zaidi ya watu 1000 katika kesi zilizosikilizwa mwaka 2025. Akizungumza katika semina ya…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA WIZARA ya Katiba na Sheria imesaini mkataba wa makubaliano na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) pamoja na Shirika la Legal Services Facility (LSF), kwa lengo la kupanua na kuimarisha huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi ili waweze kupata haki zao kwa urahisi zaidi. Kupitia makubaliano hayo, Chuo Kikuu cha Dodoma…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imemkamata raia wa Kenya, Kilonzo Mwende (35) na gramu 131 za heroin ambapo mtuhumiwa huyo alikuwa akiishi nchini tangu mwaka 2023 akijifanya mfanyabiashara wa kuuza chai ya maziwa katika ofisi mbalimbali. Akizungumza jijini Dar es Salaam Januari 8, 2026 Kamishina…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogamu 9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari matatu likiwemo basi aina ya Scania la kampuni ya King Masai Tours, lenye namba za usajili wa nchi ya Msumbiji namba AAM 297 CA. Basi hilo linalofanya safari zake za…
Na Asha Mwakyonde, Dodoma MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) leo imekabidhi tani 2.5 za mbegu za mbaazi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, kwa lengo la kuwanufaisha wakulima wa Halmashauri za Chemba, Kondoa na Kongwa wanaotumia mfumo wa Stakabadhi za Ghala kuuza mazao yao. Akizungumza Januari 6, 2025 jijini…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Madini imefanya marekebisho ya Kanuni za Ushirikishwaji wa Watanzania za mwaka 2018 ambapo Tume hiyo mara kwa mara itatangaza kupitia Kanuni ya 13A orodha ya bidhaa na huduma ambazo zinatakiwa kutolewa na kampuni za Kitanzania ambazo zinamilikiwa kwa asilimia 100…
Na Mwandishi Wetu,Tanga WAZIRI wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda, Dkt. Ruth Nankabirwa, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Uganda. Dkt. Nankabirwa ametoa pongezi hizo leo tarehe 6 Januari, 2026 jijini Tanga, wakati…