
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Faida yaongezeka kwa kasi ni asilimia 31% ya ukuaji kwa mwaka mmoja Na Hubert Kiwale, DAR ES SALAAM BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetangaza gawio la kihistoria la Shilingi bilioni 5.58 kwa Serikali ya Tanzania, ongezeko kubwa kutoka Shilingi milioni 850 mwaka uliopita. Hayo yamesemwa leo Aprili 17, 2025 jijini Dar es Salaam…
Na Mwandishi Wetu,Dodomaa MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei ametajwa kuwa kinara wa kuzungumzia mahitaji ya wananchi kwa kuwa miongoni mwa wabunge vinara wa kusema, kuchangia au kuhoji katika kila kikao cha bunge la 12 linalotarajiwa kuvunjwa mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu. Kwa mujibu wa tovuti ya Bunge la Tanzania inaonyesha Dk.Kimei…
Na Mwandishi Wetu, Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na kutekeleza mikakati mbalimbali ya nchi kwani zina mchango mkubwa kwa taifa. Ameyasema hayo leo Aprili 16, 2025 wakati akifungua Mdahalo wa Kitaifa ulioandaliwa na Media Brains kwa kushirikiana na Kituo…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) mwezi Februari, 2022 liliingia makubaliano ya ushirikiano na Shirika la Maendeleo ya Petroli Zanzibar (ZPDC) ambapo kupitia ushirikiano huo masuala mbalimbali yamekuwa yakifanyika kuiendeleza Sekta ikiwemo kubadilishana ujuzi na utaalam. Kapinga ameyasema hayo leo Aprili…
Na Aziza Masoud, Dar es SalaamMAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetangaza kufungia matumizi ya namba za utambulisho vya Taifa (NINs) kuanzia Mei Mosi mwaka huu kwa watu wote ambao wametumiwa ujumbe wa kuwataka kuchukua vitambulisho hivyo na hawajatekeleza. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam leo Aprili 14, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa NIDA…
Na Mwandishi Wetu, Lindi Wananchi wa Kijiji cha Nditi, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wameanza kuona manufaa ya vituo vya Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), wakisema kuwa hatua hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza uvamizi wa wanyamapori wakali na waharibifu, hususan tembo. Wakizungumza Aprili 13, 2025 katika mkutano wa elimu kuhusu…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam HAFLA ya utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kwa mwaka 2025 inatarajiwa kufanyika Aprili 13 katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam. Hayo yamebainishwa jana Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar…
Na. Mwandishi Wetu – MAELEZO, Zanzibar. KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewaomba wakuu wa Mikoa ambao maeneo yao itafanyika mikutano ya maafisa habari kua ukondaa maeneo kwa ajili ya shughuli ya upandaji miti ili kuunga mkono ajenda ya kitaifa ya uhifadhi wa mazingira….
Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamNAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kutegemea kupata umeme wa uhakika baada ya Mradi wa kufua umeme kutoka Bwawa la Julius Nyerere uliokuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa na Watanzania kukamilika rasmi. Waziri Biteko ameyasema hayo leo April 5, 2025 baada ya kutembelea Mradi huo akiwa…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA Umeme Tanzania (TANESCO) kwa mara nyingine tena limeshinda tuzo ya the ”Most improved Organization” eneo la huduma kwa wateja iliyotolewa na Taasisi ya Chartered Institute of Customer Management(CICM). Tuzo hizo zimetolewa 28, Machi 2025 jijini Dar es Salaam ambapo Shirika limepata tuzo hiyo baada ya kufanya maboresho ya kutumia…