
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaa. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi ameipongeza Shirika la Bima Taifa(NIC)kwa uanzishwaji wa Bima ya maisha (BeamLife) ambayo wahusika wanaweza kuchangia Sh 5000 kwa mwezi. Akizungumza hayo jana jijini Dar es Salaam wakati alipotembelea banda la NIC katika maonesho ya Kimataifa ya 49 ya Biashara…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAAJIRI wametakiwa kuweka mazingira mazuri ya kazi kwa wafanyakazi ili wafanyakazi waweze kufanya kazi na waone fahari kuitumikia kampuni ama taasisi husika Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika kikao kazi cha Chama Cha wafanyakazi wa Serikali ,a Mitaa (TALGWU) na waajiri,Afisa Tawala mkuu wa jiji la Dar es Salaam…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kuimarisha mazingira bora na wezeshi kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, hatua inayolenga kukuza uchumi wa Taifa kupitia sekta mbalimbali, hususan sekta ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mpango wa kuwezesha ujenzi na uendeshaji wa vituo vipya vidogo vya gharama nafuu vya bidhaa za mafuta (petrol na dizeli) maeneo ya vijijini ili kuondoa madhara yatokanayo na njia zisizo salama. Hayo yamebainishwa Julai 3, 2025 katika Maonesho ya 49 ya Biashara…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MSANII na Mtangazaji maarufu nchini ambaye pia ni Balozi wa Kampeini ya Walete ya Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL, Clayton Revocatus Chipando, maarufu kama Baba Levo ametembelea banda la TTCL katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya SabaSaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es…
Na Mwandishi Wetu,Morogoro WANANCHI WA Kata ya Tungi Katika Manispaa ya Morogoro wamelalamikia kitendo kilichofanywa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Abdulaziz Abood cha ‘kuwalaghai’ kwa kuzindua kisima ambacho hakitoi maji tangu alipokizindua. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwa masharti ya kutoandikwa majina yao na vyombo vya habari, wananchi hao wamedai Kisima hicho kilichopo katika Kituo…
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Mwenyekiti wa Shina la JPM lililopo kata ya Kariakoo na Mjumbe wa Baraza kwenye Jumuiya ya Wazazi Kata ya Kariakoo,Rashid Kilua amechukua na kurudisha Fomu ya Ubunge Jimbo la Bumbuli wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga. Kilua ni mjasiriamali wa Kariakoo na mdau wa Maendeleo kwenye mambo ya kijamii.
Na Mwandishi Wetu,Bariadi KAMPUNI ya Oryx Gas kwa kushirikiana na Wakala wa Nishati Safi Tanzania (REA) wamezindua rasmi mradi mkubwa ambao utawafikia na kuwawezesha wafanyakazi wote wa Magereza kuacha matumizi ya mkaa na kuni na kuhamia matumizi ya gesi. Uzinduzi wa mradi huo umefanyika leo Julai 1,2025 katika gereza la wilayani Bariadi mkoani Simiyu ambapo…
Na Mwandishi Wetu,Morogoro Aliyewahi kuwa Mwenyekiti Chipukizi (CCM) wilaya Ya Morogoro Mjini na Mjumbe wa Baraza Kuu (Uvccm) Taifa – Kuiwakilisha Chipukizi,Salmini Nchimbi amechukua fomu leo ya kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mwembesongo,wilaya ya Morogoro Mjini Mkoa wa Morogoro. Salmini ni miongoni mwa vijana wachache waliamua kugombea nafasi hiyo katika Kata ya Mwembesongo.
Na Mwandishi Wetu,Kibakwe Kada wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Fernando Wolle achukua Fomu na Kurejesha Katika Jimbo la Kibakwe Wilaya ya Mpwapwa Jijini Dodoma. Wolle anatarajiwa kumkabili Ndugu. George Simbachawene ambaye anatetea nafasi yake.