
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,KondoaMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya Comrade CPA.Hassan Lubuva amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Jimbo la Kondoa kupitia chama hicho. CPA Lubuva amechukua fomu hiyo leo Juni 30, 2025 na kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Wazazi wa chama hicho willaya Juma Seif katika ofisi za…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam ZAIDI ya wafanyabiashara 3000 na wateja 900,000 wanatarajiwa kutembelea banda la benki ya NMB katika Maonesho ya 49 ya Biashara Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Sabasaba kwa ajili yakupata huduma mbalimbali ikiwemo kufungua akaunti. Akizungumza leo Juni 30, 2030 katika viwanja vya Sabasaba,Mkuu wa Matawi na Mauzo wa benki…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imewataka wananchi wanaohitaji kuhudumiwa masuala mbalimbali yakikodi ikiwemo namba ya utambulisho wa biashara (TIN) kufika katika viwanja vya Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Sabasaba kuweza kupata huduma hiyo Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 30, 2025…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa. Chama cha ACT Wazalendo kimezindua kampeni ya Operesheni Maji Maji, inayolenga kuwaamsha Watanzania kulinda kura zao kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 29, 2025 jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu wa Idara ya Uenezi wa chama hicho, Shangwe Ayo, alisema: “Ziara hizi ni…
Na Mwandishi Wetu, Kondoa MAKADA watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM),wamejitokeza na kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania Ubunge wa jimbo la Kondoa mjini,wakiongozwa na Mkurugezi wa Idara ya Habari elimu na mawasiliano kwa umma wa Taasisi ya mabalozi wa Usalama barabarani (RSA)Ali Nurdin maarufu ‘Six’. Wanahabari walioweka kambi katika ofisi za…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MMILIKI wa mgodi wa Ikombo Hill uliopo katika Kijiji cha Matonya, Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Bi. Doreen Kissia, ameibuka kuwa mfano wa kuigwa katika sekta ya uchimbaji wa madini ya shaba, akiwa mwanamke pekee anayeongoza mgodi unaotoa ajira kwa zaidi ya asilimia 98 ya wakazi wa vijiji vya Matonya na Kinusi….
NA Mwandishi Wetu,Geita Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bukombe amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea Ubunge katika Jimbo la Bukombe. Dkt. Biteko amechukua fomu hiyo na kuirejesha kwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bukombe, Ndugu. Leonard Yesaya Mwakalukwa mapema leo Juni…
Na Mwandishi Wetu, Moshi Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Enock Koola (35), ambaye aliongoza katika kura za maoni katika kinyang’anyiro cha ubunge mwaka 2020, amechukua tena fomu ya kuwania tena nafasi hiyo ya uwakilishi, akiwa miongoni mwa waliojitokeza kumkabili mbunge anayemaliza muda wake Dkt. Charles Kimei. Mapema leo Juni 28, 2025 saa 2 asubuhi,…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma WACHIMBAJI wadogo wa madini ya shaba wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wametakiwa kujiunga katika vikundi ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali zinazotolewa na Mradi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP), unaolenga kuwaendeleza wachimbaji wadogo wa madini ya kimkakati, ikiwemo shaba. Wito huo umetolewa na Mhandisi Chacha Megewa kutoka Tume ya…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Sekta ya Nishati imekuwa na mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka mitano. Ameyasema hayo wakati akihitimisha shughuli za Bunge Jijini Dodoma Juni 28, 2025. “Mheshimiwa Spika kutokana na umuhimu wa Sekta ya Nishati kwa maendeleo ya nchi, Serikali…