
ASKOFU MKUU RUWA’ICHI AAHIDI USHIRIKIANO NA TRA
Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Jude Thaddeus Ruwa’ichi amesema Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam litaendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhamasisha watu walipe Kodi kwa kutokana na Kodi kuwa ni suala nyeti kwa maendeleo ya Nchi. Akizungumza na…