taifatz

TEF YAWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUZINGATIA MISINGI YA TAALUMA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amewataka waandishi wa habari nchini kuzingatia misingi ya taaluma ya uandishi wa habari kwa kutoa taarifa sahihi, zenye uhalisia na kuepuka matumizi ya picha potofu kutoka mitandaoni. Akizungumza  katika Ofisi za TEF jijini Dar es Salaam, Balile alisema waandishi wanapaswa kutumia…

Read More

WAANDISHI WA HABARI KUANZA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA TAI-HABARI – MSIGWA

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Serikali imesema vitambulisho vya Uandishi wa Habari (Press Card), vitaanza kutolewa wakati wowote baada ya siku saba kuanzia leo Mei 3, 2025 baada ya Waandishi wa Habari kuanza kujisajili rasmi kwenye mfumo wa TAI-Habari. Mwandishi wa Habari ataanza kujisajili kupitia kiunganishi cha https://taihabari.jab.go.tz kisha kufuata maelekezo yaliyotolewa ili kukamilisha kujaza fomu…

Read More

PROFESA MBARAWA AITAKA BODI YA ATCL KUSIMAMIA SHIRIKA LIJIENDESHE KWA WELEDI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Sala WAZIRI wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa ameiagiza bodi mpya ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL)  kulisimamia  shirika hilo lijiendeshe kwa weledi na  liweze kutoa huduma bora. Mbarawa ameyasema hayo baada ya kuzindua bodi mpya ya ATCL  ambapo Mwenyekiti   Mweyekiti wake ni Prof. Neema Mori. “Mbarawa amasema kuwa pamoja na mafanikio…

Read More