MJUMBE WA BODI COSOTA AHOFIA UTAYARI WA KAZI WA MKURUGENZI ALIYETEULIWA

NA MWANDISHI WETU,DAR ES SALAAM MATARAJIO ya Serikali katika kuinua sekta ya Sanaa, Ubunifu kupitia Haki Miliki Tanzania (COSOTA) huenda yakaingia majaribuni baada ya Mkurugenzi wake Mteule Loy Mhando kutokuwa tayari kwenda kufanyakazi katika eneo hilo. Mjumbe huyo wa Bodi alieleza wasiwasi wake  kwa sharti la kutotajwa jina na kueleza kuwa hivi karibuni Waziri wa Habari,…

Read More

BABA LEVO ATEMBELEA BANDA LA TTCL

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MSANII na Mtangazaji maarufu nchini ambaye pia ni Balozi wa Kampeini ya Walete ya Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL, Clayton Revocatus Chipando, maarufu kama Baba Levo ametembelea banda la TTCL katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya SabaSaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es…

Read More