KAMISHNA MWENDA AWATAKA WANANCHI KUSAIDIA WATOTO WENYE MAHITAJI 

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) Yusuph Mwenda ameitaka jamii kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kukamilisha ndoto zao  na kufikia malengo waliyojiwekea. Kamisha Mwenda ametoa kauli hiyo wakati akitoa msaada kama sehemu ya kuadhimisha mwezi wa mlipa kodi katika vituo vyakulelea watoto yatima  cha Hisani…

Read More

MAGESE:UREMBO SIO UHUNI

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam  MKURUGENZI wa Kampuni ya MILLEN ,Millen Happiness Magese ameishauri jamii kuachana na fikra potofu kwamba urembo ni uhuni kwakuwa majukwaa hayo yanahamasisha wanawake kujitambua na kujiamini. Millen ambaye ndiye muandaaji wa shindano la Miss Universe kwa upande wa Tanzania alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na wa…

Read More

CPA KASOLE:KAMPUNI TANZU ITASAIDIA KUKUZA BUNIFU ZETU

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo Stadi (VETA) imeanzisha kampuni tanzu ambayo inahusika na kukuza bidhaa  bunifu  zinazotengenezwa kupitia vyuo vyake mbalimbali. Kauli hiyo imetolewa na Mkurungezi Mkuu wa VETA, Anthony Kasole wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maonesho ya 49 ya Kimataifa ya kibiashara Sabasaba yanayoendelea.  CPA Kasole alisema…

Read More

WANANCHI WA MOROGORO MJINI ‘WALIA’ NA UZINDUZI ‘ WA KISIMA KISICHOTOA MAJI

Na Mwandishi Wetu,Morogoro WANANCHI WA Kata ya Tungi Katika Manispaa ya Morogoro wamelalamikia kitendo kilichofanywa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Abdulaziz Abood cha ‘kuwalaghai’ kwa kuzindua kisima ambacho hakitoi maji tangu alipokizindua. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwa masharti ya kutoandikwa majina yao na vyombo vya habari, wananchi hao wamedai Kisima hicho kilichopo katika Kituo…

Read More

BASATA YAMPA KIBALI CHAKUANDAA MISS UNIVERSE MAGESA

Na  Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  BARAZA la Sanaa la Taifa(BASATA)limetoa baraka na kibali kwa Mwanamitindo wa Kimataifa na Mrembo wa Tanzania Millen Happiness Magese kupitia kampuni yake ya MILLEN PRIVÉ & Co. LIFESTYLE Bespoke Luxury Lifestyle & Hospitality Management kuandaa  mashindano ya Miss Universe Tanzania. Millen amepata baraka na kibali cha kuandaa Miss Universe Tanzania …

Read More