MBIO ZA MSAKUZI PANDE GAME RESERVE ZAZINDULIWA RASMI

📍Utalii wa michezo wahamasishwa Na MwandishiWetu, Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kwa kushirikiana na Msakuzi Sports Promotion leo Julai 12,2025, imezindua rasmi msimu wa kwanza wa mbio za riadha zinazojulikana kama “Msakuzi Pande Game Reserve Marathon” zilizofanyika katika Hifadhi ya Pande iliyopo jijini Dar es Salaam. Akizungumza kwa niaba ya…

Read More

PROFESA KABUDI AWAAHIDI NIC KUWAPA MIRADI YA MICHEZO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amelitaja Shirika la Bima Taifa (NIC)kuwa ni miongoni mwa mashirika yanayostahili kupewa miradi ya kuendeleza mambo mbalimbali yakimichezo kutokana  na kudhihirisha uwezo wao katika usimamiaji wa miradi mbalimbali. Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es Salaam wakati,akipokea ombi kutoka kwa…

Read More

Dk Biteko ashiriki Rombo Marathon, apongeza ubunifu wake

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo ameshiriki mashindano ya Rombo Marathon yaliyohusisha mbio za Kilometa tano, kumi na 21 na kupongeza waandaaji kwa ubunifu wao uliopelekea marathon hiyo kuendelea kuimarika kila mwaka ambapo licha ya kulenga katika kuimarisha afya kwa washiriki, imejikita katika kuchangia uboreshaji wa huduma mbalimbali za…

Read More