TCB KUWAWEZESHA WATANZANIA WENYE NDOTO ZAKIUCHUMI
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua kampeni maalum ya Nina Ndoto nayolenga kuwawezesha Watanzania kufikia ndoto zao kwa kuwapatia suluhisho sahihi za kifedha, hatua inayotarajiwa kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza ustawi wa jamii. Kampeni hiyo inalenga kuimarisha upatikanaji wa huduma za kifedha kwa makundi mbalimbali ya wananchi, hususan wajasiriamali,…

