GST YAWATAKA WACHIMBAJI KUTUMIA TAARIFA ZA KITAALAM KUEPUKA UCHIMBAJI WA KUBAHATISHA
Na Aziza Masoud, Dodoma TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imewataka wachimbaji wa madini na wawekezaji kutumia taarifa za kitaalamu kabla ya kuanza shughuli za uchimbaji na kusisitiza kuwa hatua hiyo itapunguza hasara zinazotokana na uchimbaji wa kubahatisha na kuongeza tija katika sekta ya madini. Akizungumza jana katika Maonesho ya Wakulima Nanenane…

