MSHINDI WAZO BUNIFU KUKABIDHIWA SH MILIONI 50
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam VIJANA wakitanzania wametakiwa kushiriki kutoa mawazo bunifu yenye lengo la kutoa suluhisho ya mambo yanayoikabili jamii ambapo mshindi wa wazo hilo atapewa zawadi ya Sh Milioni 50. Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam juzi na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka wakati akiwatangazia vijana kushiriki Shindano…

