EWURA YASISITIZA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI KWA VIWANGO VYA KIDIGITALI

Na Asha Mwakyonde,DODOMA MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),Dk.James Andilileamesema kuwa wanajibidisha katika kuhakikisha huduma zinapatikana katika kiwango kinachotakiwa kwa wananchi ambao wana wahudumia. Pia amesema EWURA kama taasisi za serikali na Utumishi wa Umma wanaendelea kusisitizana kutoa huduma katika viwango vinavyokubalika ili Rais Dk Samia Suluhu Hassan…

Read More

SIMBACHAWENE AIPA ‘TANO’ PURA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amepongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA),kwa kazi ambazo mamalaka hiyo inazifanya. Hayo aliyasema jana jijini hapa alipotembelea banda la PURA katika maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma…

Read More

KAMISHNA WA UMEME NA NISHATI JADIDIFU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA UMEME JIJINI DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, tarehe 12 Juni 2025, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme ya Gridi Imara inayoendelea katika Jiji la Dar es Salaam, na kutoa maelekezo muhimu kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na wakandarasi…

Read More

VIONGOZI WAANZA KUWAOGOPA WAJUMBE MOROGORO

Na Mwandishi Wetu,MorogoroWAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Morogoro wamelazimika kuhudhuria kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho Wilaya huku wakitakiwa kuzima simu huku lengo ikidaiwa kuwa ni kudhibiti ‘uvujishaji wa siri za kikao hicho. Hatua hiyo imedaiwa kutokana na agizo lililotolewa na Katibu wa Chama hicho wa Wilaya hiyo…

Read More