VIONGOZI WAANZA KUWAOGOPA WAJUMBE MOROGORO

Na Mwandishi Wetu,MorogoroWAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Morogoro wamelazimika kuhudhuria kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho Wilaya huku wakitakiwa kuzima simu huku lengo ikidaiwa kuwa ni kudhibiti ‘uvujishaji wa siri za kikao hicho. Hatua hiyo imedaiwa kutokana na agizo lililotolewa na Katibu wa Chama hicho wa Wilaya hiyo…

Read More

MD TWANGE:MRADI WA KUZALISHA UMEME WA JUA KISHAPU WAFIKIA ASILIMIA 63.3 

Na Mwandishi Wetu,Shinyanga MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO Lazaro Twange amesema Mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua wa Kishapu Mkoani Shinyanga umefikia asilimia 63.3 kukamilika ambapo amesema awamu ya kwanza ya Mradi huo utazalisha Megawati 50 ambazo zitaingizwa kwenye gridi ya Taifa ifikapo mwishoni mwa mwezi wa kumi mwaka huu. MD Twange ameyasema hayo leo…

Read More

WAPAMBE WAANZA RAFU ZA UCHAGUZI MOROGORO MJINI

Na Mwandishi Wetu,MorogoroWAKATI kipyenga cha uchukuaji fomu kwa wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo Urais, Ubunge na Udiwani kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kuwapata wagombea wa kupeperusha bendera ya chama hicho kikiwa bado hata hakijapulizwa tayari michezo michafu ya inayohusishwa na rushwa imedaiwa kuanza katika jimbo la Uchaguzi la Morogoro Mjini. Hatua hiyo…

Read More