MAONESHO YA UTALII NA UWEKEZAJI ZANZIBAR FURSA KWA WANANCHI KUJUA VIVUTIO VYA UTALII

Na Mwandishi Wetu, ZanzibarMAMLAKA ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) imeshiriki kwa mafanikio katika Maonesho ya Pili ya Utalii na Uwekezaji Zanzibar 2025, yanayofanyika katika viwanja vya Dimani, Fumba Zanzibar, na kufunguliwa rasmi na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga. Kupitia ushiriki wake, NCAA…

Read More

MAWAKILI WA SERIKALI KUKUTANA DAR KESHO

Na Aziza Masoud Dar es Salaam MAWaKILI wa Serikali  nchini wanatarajia kukutana kesho jijini Dar es Salaam kupitia kongamano lenye lengo la kuwaunganisha na kutoa elimu kwa jamii katika masuala mbalimbali yakijamii. Katika kongamano hilo  mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dk.Jakaya Kikwete unatarajiwa kuhudhuliwa na mawakili kutoka Tanzania Bara na…

Read More

ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 107 ZAKAMILISHA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI SIMIYU

Na Mwandishi Wetu,Simiyu NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetumia takribani shilingi  bilioni 107.36 kupeleka umeme kwenye Vijiji vyote  474 vya Mkoa wa Simiyu.  Kapinga ameyasema hayo jana Juni 18, 2025 wakati akitoa tathmini ya hali ya upatikanaji wa umeme Mkoa wa Simiyu na maendeleo ya usambazaji wa nishati safi…

Read More

EWURA YASISITIZA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI KWA VIWANGO VYA KIDIGITALI

Na Asha Mwakyonde,DODOMA MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),Dk.James Andilileamesema kuwa wanajibidisha katika kuhakikisha huduma zinapatikana katika kiwango kinachotakiwa kwa wananchi ambao wana wahudumia. Pia amesema EWURA kama taasisi za serikali na Utumishi wa Umma wanaendelea kusisitizana kutoa huduma katika viwango vinavyokubalika ili Rais Dk Samia Suluhu Hassan…

Read More

SIMBACHAWENE AIPA ‘TANO’ PURA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amepongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA),kwa kazi ambazo mamalaka hiyo inazifanya. Hayo aliyasema jana jijini hapa alipotembelea banda la PURA katika maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma…

Read More

KAMISHNA WA UMEME NA NISHATI JADIDIFU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA UMEME JIJINI DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, tarehe 12 Juni 2025, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme ya Gridi Imara inayoendelea katika Jiji la Dar es Salaam, na kutoa maelekezo muhimu kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na wakandarasi…

Read More