TTCL YAAHIDI KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeahidi kuendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake zenye ubora wa hali ya juu pamoja na kuendelea kusikiliza maoni ya wateja ili kuboresha huduma zao. Akizungumza leo Oktoba 10, 2025 jijini Dar es Salaam katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja Kaimu…

