REA YAANZA UJENZI WA VITUO VIDOGO VYA MAFUTA VIJIJINI
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI wa Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Advera Mwijage, amesema REA imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta vijijini ili kuboresha upatikanaji wa huduma za mafuta na kuchochea maendeleo ya shughuli za kiuchumi katika maeneo ya vijijini. Akizungumza na wadau waliotembelea…

