WAZIRI RIDHIWANI ATOA WITO KWA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZILIZOPO

Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete ametoa wito kwa vijana kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo ikiwemo mikopo na mifuko mbalimbali ya uwezeshajiWananchi kiuchumi. Mhe. Kikwete ametoa wito huo wakati alipotembelea Banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuuu lililopo katika…

Read More

PROFESA KABUDI AWAAHIDI NIC KUWAPA MIRADI YA MICHEZO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amelitaja Shirika la Bima Taifa (NIC)kuwa ni miongoni mwa mashirika yanayostahili kupewa miradi ya kuendeleza mambo mbalimbali yakimichezo kutokana  na kudhihirisha uwezo wao katika usimamiaji wa miradi mbalimbali. Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es Salaam wakati,akipokea ombi kutoka kwa…

Read More