DC MSANDO MTAA KWA MTAA KUKAGUA HUDUMA YA MAJI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Mheshimiwa Albert Msando amefanya ziara ya kukagua hali ya maji katika Wilaya hiyo sambamba na kukagua utekelezaji wa mradi wa maji King’ong’o katika Kata ya Saranga ambao umeanza kutekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)utakaohudumia wakazi takribani 92,000 katika mitaa ya Michungwani, King’ong’o na…

Read More

SERIKALI IMEWEKA MIKAKATI DHABITI YA KUKABILIANA NA MAJANGA NCHINI-MAJALIWA

Na Mwandishi Wetu,Mbeya WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha ustahimilivu wa Taifa dhidi ya majanga, kupitia utekelezaji wa sera, sheria, mikakati na miradi mbalimbali Amesema kuwa hatua hiyo itasaidia kuendelea katika kujenga ustahimilivu wa jamii dhidi ya maafa, tutaokoa maisha, mali, na rasilimali za taifa letu. Amesema hayo…

Read More

TRA YAHIMIZA BIASHARA HALALI YA MADINI NA KUPONGEZA ULIPAJI KODI KWA HIARI

Na Mwandishi Wetu,Shinyanga UONGOZI wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) umeadhimisha wiki ya huduma kwa wateja na wafanyabiashara mbalimbali wakiwemo wa Madini wanaoendesha shughuli zao katika soko la Madini la wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuwapongeza kwa kuendelea kulipa kodi kwa hiari. Akizungumza katika maadimisho hayo wilayani Kahama Oktoba 09.2015 Kamishna Mkuu wa TRA Bw….

Read More

MWEKEZAJI TOTAL ENERGIES AWATAKA WATANZANIA WALIOPO NJE KUJA KUWEKEZA NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAFANYABIASHARA wa Tanzania wanaoishi nchi za nje wametakiwa kurudi nchini na kufanya uwekezaji  ili  kuchangia kuinua uchumi na kuendeleza Taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba 6, 2025 na Mmiliki wa kituo cha mafuta cha Total Energies kilichopo Kimara Godfrey Nyashage wakati akizindua kituo hicho ambacho ni kipya. Alisema…

Read More

OTHMAN AAHIDI KUFANYA MABADILIKO VISIWA VIDOGO VIDOGO UNGUJA NA PEMBA

Na Mwandishi Wetu,Pemba Mgombea Urais wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kuleta mageuzi makubwa katika utoaji wa huduma za kijamii kwa wananchi wanaoishi katika visiwa vidogo vidogo vya Zanzibar, akisisitiza kwamba Serikali yake itahakikisha kila Mzanzibari anahisi kuwa sehemu ya nchi bila kujali umbali alipo. Othman aliyasema hayo mara baada ya kuwasili Kisiwa cha…

Read More