MWEKEZAJI TOTAL ENERGIES AWATAKA WATANZANIA WALIOPO NJE KUJA KUWEKEZA NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAFANYABIASHARA wa Tanzania wanaoishi nchi za nje wametakiwa kurudi nchini na kufanya uwekezaji  ili  kuchangia kuinua uchumi na kuendeleza Taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba 6, 2025 na Mmiliki wa kituo cha mafuta cha Total Energies kilichopo Kimara Godfrey Nyashage wakati akizindua kituo hicho ambacho ni kipya. Alisema…

Read More