
TAWLA ILIVYOPAMBANA KUSAIDIA JAMII KWA MIAKA 35
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam CHAMA Cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) kimesema ndani ya miaka 35 wamefanikiwa kusimamia mambo sita muhimu yakiwemo kuwafikia zaidi ya wananchi milioni saba (7,000,000) kwa kutoa huduma zakisheria. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Mei 20, 2025 katika kuelekea maadhimisho ya miaka 35 ya TAWLA,Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho Tike…