MAAFISA MAWASILIANO WAANDALIWA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA

NA Mwandishi Wetu,Morogoro CHAMA Cha Maafisa Mawasiliqno wa Serikali Tanzania (TAGCO) kimeendelea kutoa mafunzo mbalimbali ikiwemo matumizi ya teknolojia ya Akili unde (Artificial Intelligence – AI) kwa Maafisa Mawasiliano wa serikali kwa lengo la kuhakikisha wanafanya kazi kuendana na mabadiliko ya teknolojia. Mafunzo hayo yanayoendelea kufanyika Mkoa wa Morogoro yamejikita kuongeza ubunifu katika kazi na…

Read More

KAMISHNA MWENDA:MFUMO WA IDRAS UTASAIDIA KUSIMAMIA USAWA KATIKA ULIPAJI KODI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema Mfumo Jumuishi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndani (IDRAS) unaotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni utaongeza wigo wa Kodi na kusimamia usawa katika ulipaji wa kodi. Hayo yamebainishwa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda alipokuwa akifungua…

Read More