UWT KONDOA KUTOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM KUELEKEA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI

Na Asha Mwakyonde, DODOMA KATIKA kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake kitaifa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT), wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Wilaya ya Kondoa Hadija Kilala, amesema jumuiya hiyo imejipanga kuadhimisha siku hiyo kwa vitendo kwa kutoa misaada kwa watoto wenye mahitaji maalum, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali…

Read More

MEGA COPPER YAONGEZA THAMANI YA SHABA

MKAKATI wa uongezaji thamani katika Sekta ya Madini umeanza kuzaa matunda mkoani Kilimanjaro, baada ya kampuni ya Mega Copper Co Ltd kujikita katika uongezaji wa kiwango cha ubora wa madini ya shaba kutoka asilimia moja hadi kufikia kati ya asilimia 20 na 25. Akizungumza katika kijiji cha Kiruru, wilayani Mwanga, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Ally…

Read More