KATIBU MKUU MAJI AITAKA DAWASA KUFUNGA MKANDA UPOTEVU WA MAJI
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BARaZA Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) limekutana kujadili na kuweka mwelekeo wa vipaumbele vya Mamlaka kuelekea mwaka wa fedha 2026/2027, likilenga kuimarisha utoaji wa huduma ya majisafi na salama kwa wananchi. Akizungumza katik kikao kazi hicho, Katibu Mkuu Wizara ya…

