WaterAid UK watoa Ahadi kuimarisha upatikanaji maji
Na Benny Mwaipaja, Congo Brazzaville Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika kikao na Ujumbe wa Taasisi ya WaterAid UK, ukiongozwa na Mkurugenzi wake Mtendaji wa Kanda ya Kusini mwa Afrika, Bw. Robert Kampala, Mkutano uliofanyika pembezoni mwa Mkutano Mkuu wa 61 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika…

