DAWASA YAFAFANUA SABABU ZA UKOSEFU WA MAJI MAENEO YA KIBAHA HADi KISARAWE

‎Na Mwandishi Wetu,Pwani ‎MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetoa ufafanuzi kuhusu changamoto ya ukosefu wa huduma ya maji iliyowakumba wakazi wa maeneo yanayohudumiwa na Mtambo wa Uzalishaji Maji wa Ruvu Juu kuwa ni matengenezo makubwa yaliyolenga kuboresha na kuimarisha huduma zaidi.‎‎Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano DAWASA, Bi. Everlasting Lyaro,…

Read Full News