PROFESA KABUDI:BANGI INAONGOZA KUKAMATWA NCHINI
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Profesa Palamagamba Kabudi amesema bangi imeendelea kuwa dawa ya kulevya inayokamatwa kwa wingi zaidi nchini ambapo kwa mwaka 2025 jumla ya tani 1,017.26 zilikamtwa. Profesa Kabudi ametoa kauli hiyo Mei 29, 2026 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kuhusu hali ya…

