MKURUGENZI WA RASILIMALI WATU TANESCO AWAHAKIKISHIA USHIRIKIANO MAAFISA HUDUMA KWA WATEJA KUBORESHA UTENDAJI

Na Mwandishi Wetu,Dpdo Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala TANESCO, Bi. Beatrice Kimoleta, amewahakikishia Maafisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja ushirikiano katika kufanikisha upatikanaji wa nyenzo muhimu zitakazowawezesha kuhudumia wateja kwa ufanisi na ubora wa hali ya juu. Ametoa kauli hiyo Mei 22, 2026 alipokuwa akifunga mkutano mkuu wa mwaka wa maafisa hao uliofanyika kwa…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAITAKA SERIKALI KUONGEZA BAJETI YA VIWANDA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA KATIKA kipindi ambacho Tanzania inaelekea kwenye mageuzi makubwa ya kiuchumi kupitia Dira ya Taifa 2050, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeibuka na mapendekezo mazito yanayolenga kuimarisha sekta ya viwanda, biashara na uwekezaji nchini. Kamati hiyo imeitaka Serikali kuongeza bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara…

Read More

TANESCO YAENDELEA KUWAELIMISHA WANAOFANYA SHUGHULI ZA KIUCHUMI KWENYE MIUNDOMBINU YA UMEME

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuwasisitiza wananchi wanaofanya shughuli zao za kiuchumi katika miundombinu ya umeme kuondoka katika maeneo hayo kwa hiari, kwa kuwa wanahatarisha usalama wa maisha na mali zao. Akizungumza katika muendelezo wa zoezi la kukagua miundombinu ya umeme Mei 18, katika eneo la Mbagala Zakhem jijini…

Read More

TANZANIA YASISITIZA UMUHIMU WA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA NISHATI YA NYUKLIA

Na Mwandishi Wetu,Kigali Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba amesema ushirikiano wa kikanda ni muhimu katika kuharakisha matumizi ya nishati ya nyuklia kwa ajili ya kuhakikisha upatikanaji wa nishati salama, ya uhakika na yenye kuchochea maendeleo ya uchumi Afrika. Mha. Mramba ameyasema hayo leo Mei 20, 2026 alipomwakilisha…

Read More

MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME CHALINZE–DODOMA KUKAMILIKA AGOSTI 2026 : MD TWANGE

📌Utekelezaji wa Mradi wafikia asilimia 82.5 📌Shilingi bilioni 514 kutumika ajili utekelezaji wa mradi 📌 Amtaka Mkandarasi kuongeza kasi mradi huo wa kimkakati ukamilike kwa wakati Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amesema mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Zuzu, Dodoma, unatarajiwa kukamilika…

Read More