TANZANIA KINARA WA HIFADHI GRAPHITE AFRIKA,MAHITAJI YA LITHIUM YAENDELEA KUONGEZEKA DUNIANI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mjiolojia kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini muhimu ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth elements, ambayo ni nguzo muhimu katika maendeleo ya teknolojia za kisasa na nishati…

Read More