DHAHABU YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 1.2 YAKAMATWA IKITOROSHWA
■ Waziri Mavunde ataka mnyororo wote wa utoroshaji wa madini hayo udhibitiwe, ■ Asikitishwa na upotevu wa mapato ya Serikali yatokanayo na vitendo hivyo, ■ Aelekeza wahusika wote wafutiwe leseni na kutoruhusiwa tena kufanya biashara ya madini, ■ Atoa rai kwa wananchi kufanya biashara ya madini kupitia mfumo rasmi Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam, Kufuatia…

