DHAHABU YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 1.2 YAKAMATWA IKITOROSHWA

■ Waziri Mavunde ataka mnyororo wote wa utoroshaji wa madini hayo udhibitiwe, ■ Asikitishwa na upotevu wa mapato ya Serikali yatokanayo na vitendo hivyo, ■ Aelekeza wahusika wote wafutiwe leseni na kutoruhusiwa tena kufanya biashara ya madini, ■ Atoa rai kwa wananchi kufanya biashara ya madini kupitia mfumo rasmi Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam, Kufuatia…

Read Full News

UMEME JUA KISHAPU AWAMU YA PILI KUIONGEZEA TANZANIA MEGAWATI 100 ZA NISHATI JADIDIFU

📌Waziri Ndejembi ashuhudia utiaji saini, asema ni alama ya miradi ya kielelezo nchini. 📌Mradi utakuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 100 📌Aeleza mradi kugharimu Shilingi bilioni 204.4 na kuchochea sekta za kilimo, viwanda na uchimbaji wa madini. 📌Aitaka TANESCO kusimamia kwa karibu utekelezaji wa mradi ili ukamilike kwa wakati Na Mwandishi Wetu,Kishapu Serikali kupitia Shirika…

Read Full News